Zanzibar: Rais Mwinyi amtumbua Katibu wa Rais, Suleiman Ahmed Saleh siku 37 baada ya kuteuliwa

Zanzibar: Rais Mwinyi amtumbua Katibu wa Rais, Suleiman Ahmed Saleh siku 37 baada ya kuteuliwa

Nilichogundua atufahamiani, nilichogundua hakuna anayeteuliwa kwa sababu anafahamika na ana sifa bali anateuliwa kwa sababu anaonekana. Taasisi moja kuu nadhani imeshindwa kufuatilia nakupata taarifa za watu, au wanadata lakini awasikilizwi au wao wamekuwa wanajipendekeza wenyewe pale wanapoambiwa wapendekeze wateule.

Turudi kwenye basics za mwalimu......tuwafahamu watu kwenye vitengo vyao bila kujali vyeo vyao na kuwateua....Leo hii wapo watu Wana vyeo vidogo lakini ndio wanaongoza taasisi isipokuwa tu anayeonekana ni yule aliyepo juu.

Ukienda kwenye ofisi private au public Kuna key figure kila kitu ukiuliza unaambiwa muulize flani, shauriana na flan...nk
 
Kwani ulitumwa kutuletea huku, basi ungeacha huko huko kwenye mamlaka iliyoteua na kutengua! Wewe ndio mwenye mihemko.
Na wewe ulitumwa kusoma huo ujumbe?, wenye akili timamu wameelewa , na sababu anazijua mtenguaji.
Kwani wewe ndo ulimteua mpaka ujue sababu?
 
Back
Top Bottom