mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Mliyataka wenyewe, sasa mbona tena yanawashindaaaa?
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu ukute asilimia kubwa ya hiyo Hela tunawachangia sisi wabara
Faida ya Znz wako wachache, ila wafanya kazi wakiwa wengi huwezi pandisha hivyo
Mwinyi anajitahidi, japo naamini anayoyafanya Zanzibar yanachagizwa na uchache wa wastaafu waliopo kule ukilinganisha na Bara, tena zaidi kama hiyo pensheni inawahusu wazee wenye miaka kuanzia sabini.
Hakuna uchumi wa bluuu labda kodi za buluuu. Tokea Mwinyi aingie madarakani kodi zinapanda kama mlima KilimanjaroUchumi wa Blue ,Mwinyi Jr anaupiga mwingi ,Mitano tena.