voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,545
- 11,935
Wewe unaongelea chooni huku bara, unajuaje kinachoendelea huko?Nadhani huyu jamaa ndio Rais anayeongoza kwa kutengua watu duniani kwa sasa , Cha kushangaza sasa dhiki ya Wazanzibar iko palepale !
Au kwa sababu na wewe ni muhanga?