Zanzibar: Rais Samia alikutana na Viongozi wa ACT Wazalendo kwa mazungumzo

Zitto Kabwe ameoa Pemba bwashee!

Hoja ni mkutano wa SSH na wajumbe. Wajumbe walikuwa hawa:

1. Othman Massoud (Pemba)
2. Juma Duni Haji (Pemba)
3. Nassor Ahmed Mazrui (Pemba)
4. Salim Biman (Pemba)
5. Omar Said Shaaban (Pemba)

Yawezekana SSH alikuwa na wageni kutoka Pemba.
 
SIo ACT na CCM ni ndugu hapana .WaZanzibari na hasa wa kutokea Pemba huko wameshaifukuza CCM na zaidi CCM imeshafukuzwa Zanzibar tokea 1995 ,haipo ,,,,sasa ,wale CCM mnaowaona ni wachumia Tumbo hawana lao jambo ,Nina hakika Samia anaweza akawatia ndani wote na kuwafunga na kutaifisha mali zao.

Halafu inasemekana Samia anaipenda ACT japo sio mwanachama. Ndoa ipo CCM moyo upo ACT.
 
Halafu habari ya zamani sana.
Msitupumbaze tunahitaji KATIBA mupya ,hayo ya wazenji ni yao hayatuhusu.
 
Hiyo si sawa. Kumbe mh rais Kuna vyama anakutana navyo kwa usiri? Hiyo siyo njema.
 
Asanten Sana ACT maana nyie mnaweza kuwa wanasiasa wenye kujali amani hao wapumbavu CHADEMA wafutwe tu

Chama kimejaa magaidi
USSR
Hapo kinyme chake ndio kweli yaani hicho Chama ulichikitaja kuwakifutwe, kinatishia uhai wa like Chama ulichomo wewe!, Unakiogopa kishenziii!
 
Huyu mama mdini
 
Subirini wazNzibbara wawaonyooshe watanganyika...

Mmewaonea mno ni zamu yenu kuhenyeshwa na mwana taarabu wa Kizimkazi.
 
Anatengeneza kwao ,huku anatuvuruga. Zanzibar wana maridhiano ya kitaifa, huku hataki hata kusikia! Zanzibar walirekebesha katiba yao ili kuleta umoja wa kitaifa, huku hataki kusikia katiba mpya. Watanzania tuamke ,tukatae kugawanywa kwa manufaa ya Zanzibar
 

Inafahamika kwa miaka mingi sana CCM wanateswa na NZI wa Maalim Seif ambao aliwaingiza ndani ya CCM kwa miaka mingi sana, Mmoja wao ni huyu makamo wa raisi wa sasa ambae aliwahi kushika nyadhifa kubwa kubwa ndani ya serekali bila ya wenyewe CCM kumtambua.

Kuna kipindi pia habari ziliwahi kuvuma kua Mama alikua katika moja wa nzi wa Maalim Seif ndani ya CCM,
 
Asanten Sana ACT maana nyie mnaweza kuwa wanasiasa wenye kujali amani hao wapumbavu CHADEMA wafutwe tu

Chama kimejaa magaidi
USSR
Naona ama kweli bangi imekubali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…