Zanzibar | Special Thread

Zanzibar | Special Thread

Zanziba imekalia kiutalii zaidi, yaani main target ni foreigners nje ya Tanzania. Stone town kuna guest houses za kumwaga.


Kwanini hawapendi mtanganyika apange kwenye nyumba yao? Kama wakikataa mtanganyika watampata nani? Wazanzibari hawana utamaduni wa kukodi nyumba wakiwa kwao. Huku mtu kakodi nyumba/chumba ikiwa anasoma chuo mfano. Venginevyo mtu hana pakukaa basi anakaa kwao tu
Hii Mada ni nzuri kweli na mm ni mara nyingi napenda kwenda Zanzibar hasa wnangu wanapokuwa likizo
miaka ya nyuma nilienda na Mama watoto kweli Guest tulikosa mpaka tukafika Maghorofa mengi naona ndio Michungwani katiakati humo mwa maghorofa ndio tukakuta Guest moja na wenyewe wanaishi humo, baada ya maelezo wakatuelewa ni mtu na mkewe ndipo tukaishi siku 2 na kugeuza
hizi mara nyingine hatulali kwani tumeshaamini nyumba za wageni ni lazima uwe na cheti cha ndoa
Jamani km Stone town Guest za bei rahisi zipo tujuzeni maana Bwawani bei haishikiki
 
Zanziba imekalia kiutalii zaidi, yaani main target ni foreigners nje ya Tanzania. Stone town kuna guest houses za kumwaga.


Kwanini hawapendi mtanganyika apange kwenye nyumba yao? Kama wakikataa mtanganyika watampata nani? Wazanzibari hawana utamaduni wa kukodi nyumba wakiwa kwao. Huku mtu kakodi nyumba/chumba ikiwa anasoma chuo mfano. Venginevyo mtu hana pakukaa basi anakaa kwao tu


hizi ni fikra zako tu kwa vile ni muoga, kupigwa juju haitaki uwe mbara au mkenya, kama kupigwa juju na mshindano wako utapigwa tu. Sasa wamachinga wote waliopo Zanzibar mbona hawakupigwa juju na product zao ni za ovyo tu? Wewe kaa tu wakati kuna wabongo wenzako wanapiga mawe maisha yanasonga mbele hawatamani ata kurudi kwao 😀


Ushawahi kulinganisha operating costs za boti na za bus linalokwenda Tanga kutoka dar 250+ kms?
Umejibu kama unafukuzwa, soma uelewe.

Although kuishi au kuwa mkaazi wa unguja si kwamba unajua everything, you're nothing, nimekaa, kufanya kazi na hata biashara unguja vitu vingi unaonekana huvijui.
 
Hii Mada ni nzuri kweli na mm ni mara nyingi napenda kwenda Zanzibar hasa wnangu wanapokuwa likizo
miaka ya nyuma nilienda na Mama watoto kweli Guest tulikosa mpaka tukafika Maghorofa mengi naona ndio Michungwani katiakati humo mwa maghorofa ndio tukakuta Guest moja na wenyewe wanaishi humo, baada ya maelezo wakatuelewa ni mtu na mkewe ndipo tukaishi siku 2 na kugeuza
hizi mara nyingine hatulali kwani tumeshaamini nyumba za wageni ni lazima uwe na cheti cha ndoa
Jamani km Stone town Guest za bei rahisi zipo tujuzeni maana Bwawani bei haishikiki
Yule mpemba ni muongo sana, anaongea uongo mbele ya watu wazima.

Anasema guest zipo nyingi!!.
Sisi wengine tushakuwa wenyeji, najua guest bubu nyingi tu na hazipo rasmi zile rasmi zipo pembezoni mwa mji.

Na nyingi ya hizo unakuta mtu alikuwa na familia ambapo watoto wamekuwa wamesepa arabuni au wapo Tanganyika so nyumba imebaki tupu wanaamua kupangisha na bei haizidi 10,000/- per night labda iwe self inazidi kidogo sana.
 
Hii Mada ni nzuri kweli na mm ni mara nyingi napenda kwenda Zanzibar hasa wnangu wanapokuwa likizo
miaka ya nyuma nilienda na Mama watoto kweli Guest tulikosa mpaka tukafika Maghorofa mengi naona ndio Michungwani katiakati humo mwa maghorofa ndio tukakuta Guest moja na wenyewe wanaishi humo, baada ya maelezo wakatuelewa ni mtu na mkewe ndipo tukaishi siku 2 na kugeuza
hizi mara nyingine hatulali kwani tumeshaamini nyumba za wageni ni lazima uwe na cheti cha ndoa
Jamani km Stone town Guest za bei rahisi zipo tujuzeni maana Bwawani bei haishikiki
Guest za town nyingi target ni foreigners, so bei zao huwa ni za kigeni nazo. Ila kama unataka kukaa town, jaribu kuingia Airbnb.com anza kutafuta ambayo bei yake utaiweza.

Hizo guests zinazokuomba cheti cha ndoa sijajua ni za wapi, guest zinatumika sana kwa short time, maana huku kwetu sio wengi wanaolala guest
 
Umejibu kama unafukuzwa, soma uelewe.

Although kuishi au kuwa mkaazi wa unguja si kwamba unajua everything, you're nothing, nimekaa, kufanya kazi na hata biashara unguja vitu vingi unaonekana huvijui.
Naona nimekujibu point baada ya point ila wewe unaejua kila kitu hukuonesha kosa kwenye point nilizokujibu 😀
 
Yule mpemba ni muongo sana, anaongea uongo mbele ya watu wazima.

Anasema guest zipo nyingi!!.
Sisi wengine tushakuwa wenyeji, najua guest bubu nyingi tu na hazipo rasmi zile rasmi zipo pembezoni mwa mji.

Na nyingi ya hizo unakuta mtu alikuwa na familia ambapo watoto wamekuwa wamesepa arabuni au wapo Tanganyika so nyumba imebaki tupu wanaamua kupangisha na bei haizidi 10,000/- per night labda iwe self inazidi kidogo sana.
Sasa uongo uko wapi?

Huyo mpemba amesema guest house zipo nyingi, wewe unasema kuwa kasema uongo? kisha wewe uliekuwa mwenyeji unasema kuwa guests bubu zipo nyingi!

Sasa ndio unasema kitu ganio hapo? Unajisuta mwenyeo ulivosema kuwa guests hamna Zanzibar 😀
 
Hii Mada ni nzuri kweli na mm ni mara nyingi napenda kwenda Zanzibar hasa wnangu wanapokuwa likizo
miaka ya nyuma nilienda na Mama watoto kweli Guest tulikosa mpaka tukafika Maghorofa mengi naona ndio Michungwani katiakati humo mwa maghorofa ndio tukakuta Guest moja na wenyewe wanaishi humo, baada ya maelezo wakatuelewa ni mtu na mkewe ndipo tukaishi siku 2 na kugeuza
hizi mara nyingine hatulali kwani tumeshaamini nyumba za wageni ni lazima uwe na cheti cha ndoa
Jamani km Stone town Guest za bei rahisi zipo tujuzeni maana Bwawani bei haishikiki
Kama ni town kuna guest ipo darajani ni 20000 na 25000 hamna masharti yoyote
 
Afadhali umefikilia kuweka mada ya wazenjibar, japo wenyewe wamelala maana walikuwa hawana sehemu maalum iliyopo ndani ya jukwaa as muungano.

Naendelea na hili hapa...
[emoji1485]Kwanza guest houses kwa unguja ni shida sana kupata kulingana na eneo unalotaka kustay, itakulazimu upate chumba (mfano) darajani alafu shuhuli zako ziwe ZU.

[emoji1485]Wenyeji hawapendi Mtanganyika apange kwenye nyumba zao tena akiwa jisnia ya kiume bora wa kike anafikiliwa.

[emoji1485] Ubinafsi ni mkubwa sana, ukifahamika umetoka bara, labda utoe product bora/nzuri kuliko ila unapigwa juju mapema asubuhi!.

[emoji1485]Pia mpaka kesho najiuliza, sababu ya gharama ya usafiri kwa boat how ni kubwa sana kulinganisha na distance?.

[emoji1485]Na ...
Vitu vingi ulivyoandika hapa ni uzushi.

Zanzibar ya sasa wanaokodi nyumba au vyumba wengi wao ni wageni kutoka tanganyika. Kuna wafanyakazi wa mahotelini, waendesha boda boda, wauza magenge na bar. Machinga wanaopitisha vitu mitaani. Huku stone Town kuna maduka mengi ya wauza vinyago na vitu vya utalii na wauzaji na hata wamiliki wengi wao ni from Arusha, moshi au meru. Sasa unadhani wanaishi vp na wanakaa wapi!?

Mbona wengi wao tunawaona wapo miaka mingi tu. Na familia zao.

Nna uhakika walianza wachache..... Sasa tujiulize kwa nini wamekuwa wengi sana kama kweli zanzibar kuna ubaguzi wangeitana kweli kuja kuishi huku na kufanya biashara zao!!?
 
Ukifika Zanzibar kwa Mara ya kwanza utaitwa Mtanganyika na sio Mtanzania.

Yaani Hawa watumwa wakinyamwezi waliochunda na kushindwa kununulika utumwani na Kisha kubakia kisiwani Wana kaubaguzi flani ka kimfumo.. wasipokubagua kwa utaifa... Watakubagua kwa Dini.

Wanajiona waarabu kuliko waafrika ila ndo ndugu zangu.. ntafanyaje nawavumilia tu.

Aswaa Wanungwi wao wakisikia wewe m bara hata uwe na hela vipi hawakuozeshi mtoto wao. Kamwe!.


Lakini ndo binadamu ndivyo tulivyo wote wabaguzi tu.
 
Ukifika Zanzibar kwa Mara ya kwanza utaitwa Mtanganyika na sio Mtanzania.

Yaani Hawa watumwa wakinyamwezi waliochunda na kushindwa kununulika utumwani na Kisha kubakia kisiwani Wana kaubaguzi flani ka kimfumo.. wasipokubagua kwa utaifa... Watakubagua kwa Dini.

Wanajiona waarabu kuliko waafrika ila ndo ndugu zangu.. ntafanyaje nawavumilia tu.

Aswaa Wanungwi wao wakisikia wewe m bara hata uwe na hela vipi hawakuozeshi mtoto wao. Kamwe!.


Lakini ndo binadamu ndivyo tulivyo wote wabaguzi tu.
Ukiona hivyo hata elimu kwao ni tatizo..ujinga na umasikini unawatafuna.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukifika Zanzibar kwa Mara ya kwanza utaitwa Mtanganyika na sio Mtanzania.

Yaani Hawa watumwa wakinyamwezi waliochunda na kushindwa kununulika utumwani na Kisha kubakia kisiwani Wana kaubaguzi flani ka kimfumo.. wasipokubagua kwa utaifa... Watakubagua kwa Dini.

Wanajiona waarabu kuliko waafrika ila ndo ndugu zangu.. ntafanyaje nawavumilia tu.

Aswaa Wanungwi wao wakisikia wewe m bara hata uwe na hela vipi hawakuozeshi mtoto wao. Kamwe!.


Lakini ndo binadamu ndivyo tulivyo wote wabaguzi tu.

Sasa mkuu kwani ulitaka kuchukua mzigo Nungwi?
 
Wana tabia ya kuwa zalisha dada zetu na kuwa telekeza na watoto, na hawa ruhusiwi kusema Kwa wazaz wao kama wamezaa nje ya ndoa, kwaiyo mtoto ata lelewa na mwanamke mpaka ata kuwa mkubwa hasimjue Baba yake na ndugu wa upande wa Baba yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom