greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Hauwezi mtu ukawatangazia wafuasi wako wafanye fujo then polisi wabaki wanakuchekeeni hii haiwezekani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwandishi angebalance story na sio huo uchocheziMwandishi wa habari pia hutaki azurure?
Jeshi limetumika kisiasaHauwezi mtu ukawatangazia wafuasi wako wafanye fujo then polisi wabaki wanakuchekeeni hii haiwezekani.
ulafi wa madarakaAskari zaidi ya 20, wakiwa ndani ya magari yao asubuhi ya leo wanafyatua mabomu ya machozi kwa kila kundi la watu wanalokutana nalo.
Katika eneo la Darajani, askari hao bila kuwepo kwa viashiria vya uvunnjifu wa amani, wamefyatua mabomu ya machozi kwa kundi dogo la watu waliokuwa pembezoni mwa Barabara za Mkunazini.
Hali hiyo imezua taharuki huku watu wakikimbia kuokoa maisha yao.
Katika eneo la Soko Kuu la Zanzibar, Marikiti, sehemu kubwa ya soko hili imefungwa na hakuna wafanyabiashara, isipokuwa wazee wachache wanaopanga nyanya, bamia na matango machache pembezoni mwa soko hilo.
Nimeshugudua maduka karibu yote yamefungwa tangu asubuhi na hakuna mizunguko ya watu, kama ilivyozoeleka katika eneo la Darajani na jirani.
View attachment 1613493View attachment 1613494View attachment 1613495View attachment 1613496
Taarifa zaidi zinafuata...
so sadnessMnaleta utani kwenye roho za watanzania, nyie ni laana ya hili taifa.
Naendelea kutazama picha za vijana waliouawa jana usiku na vikosi vya usalama, hali ni ya huzuni sana kwa wapemba.
uvumilivu nao unamwisho wake na always huwa ni mbaya sana either kwa mtendaji au mtendewaMimi nshapotezea heshima toka ile siku alisema Magufuli atawale miaka 15, alikuwa analinda ugali wa kizazi chake.
Mwandishi angebalance story na sio huo uchochezi
Kama amani haipo tatizo halitokani na unyanyasaji wa makaburu tena, tatizo litakuwa linafanana na la kwetu linalosababishwa na watawala waliopo madarakani.Una uhakika Afrika Kusini amani inatawala hadi leo?
..kama wako mita 200 basi wasibugudhiwe au kupigwa mabomu.
..sijui kwanini watawala wanakerwa na maneno "kulinda kura."
Watapigwa na kutawanywa. Sirro kasema hawezi kuruhusu kila mwanachama wa chama cha siasa akakaa nje eti kulinda kura. Huo ni mwanzo wa vurugu...sijui kwanini watawala wanakerwa na maneno "kulinda kura."
Watapigwa na kutawanywa. Sirro kasema hawezi kuruhusu kila mwanachama wa chama cha siasa akakaa nje eti kulinda kura. Huo ni mwanzo wa vurugu.
Kama mawakala ndani watafanya wapaswayo kufanya, kura zinaweza “kulindwa” kwa Mkurugenzi siku ya kutangazwa kwa sababu by then Mbunge anaweza kuwa keshapata majumuisho ya kura kutoka vituoni.
Kama Mawakala kule ndani wakikengeuka, huko nje walindao kura wanapoteza muda tu
The fact kwamba tunayashuhudia hayo hapa Tanzania ni ishara kwamba uchaguzi wetu una matatizo.
Usipende kuropoka vitu usivyovijua. Kukaa kimya wakati mwingine ni busara zaidi kuliko kujifanya mjuaji.Kama amani haipo tatizo halitokani na unyanyasaji wa makaburu tena, tatizo litakuwa linafanana na la kwetu linalosababishwa na watawala waliopo madarakani.
Endapo wakala tu aliyepo ndani hawezi “kulinda kura”, mtu anayesimama nje 100 meters uliambiwa mapema kwamba hana ubavu wa kulinda chochote especially pale ambapo Msimamizi wa Uchaguzi ambaye ni mwana CCM/DED/Mteule wa Magufuli anapoagizwa kufanya yakeUliza ilifanikiwaje uchaguzi wa mwaka 2010 Nyamagana??? 2015 Mbeya mjini, Kilombero, Tunduma, Momba, Arusha Mjini na Kawe????
Au Wewe ni mgeni kwenye kufuatilia chaguzi za Tanzania??