safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Ma hii ndio maana ya utalii haswaa yani unakuwa unavaa tamaduni za watu fulani kwa muda.Safi sana. Utalii ni habari nyingine na mavazi ni habari nyingine, watalii wanapaswa kuheshimu mila, tamaduni na desturi za maeneo wanayotalii. Ndio maana nchi za wenzetu wanalinda sana taratibu, desturi na mila zao na bado utalii uko pale pale.
Acha wazungu wavae kama wazanzibari