Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zanzibar kamwe haiwezi kupewa unachama kwa kuwa kwa vigezo vya FIFA, sio nchi bali ni sehemu ya Tanzania. FIFA inatambua members wa UN. Kuna exception ya United Kingdom kwa sababu za kihistoria. Hawataki tena kurudia kosa hilo.Nimeshangaa kuona ZFF wanalilia kugawana hela waliyopewa TFF na FIFA na wakati wao siyo mwanachama wa FIFA,pia wanajua michezo siyo jambo la Muungano.Zanzibar wanatakiwa watafute uanachama wa FIFA au michezo iwe jambo la Muungano.
TFF - Tanzania Football Federation
Tanzania ni muunganiko wa nchi mbili, Tanganyika na Zanzibar.
Tuwagawie au tuwakatae tu? [emoji23]
Zanzibar kamwe haiwezi kupewa unachama kwa kuwa kwa vigezo vya FIFA, sio nchi bali ni sehemu ya Tanzania. FIFA inatambua members wa UN. Kuna exception ya United Kingdom kwa sababu za kihistoria. Hawataki tena kurudia kosa hilo.
Mgao wa hela ya FIAFA na mambo mengine inaweza kuwa ni local arrangement ndani ya TFF. Zanzibar iwe treated kama special zone na mgawo wao uwepo kikanuni.
Vinginevyo tutapiga sana kelele hadi kiama. Alipata uanachama wa CAf ukaja kufutwa na Rais wa sasa. Hiyo ingekuwa nhgao ya kuombea uanachama wa FIFA japo bado ingekuwa vigumu sana.
Hawawezi kukubali ligi moja hata siku moja.Ingekuwa ni wakati mzuri kwa Zanzibar kupitia baraza la wawakilishi kuona faida kuwa Michezo iwe jambo la Muungano kwa faida ya wanamichezo wa Zanzibar na hata kungekuwa na ligi moja ya Ya mpira wa miguu. Lakini sabbu ya unafiki na ulafi wa wanasiasa wataangalia zaidi faida za matumbo yao..
Sent using Jamii Forums mobile app
No way lazima mkubali tu kuwa nyie ni sawa na DRFAKinachotuuma sisi wazanzibar ni kupata mgao kama mkoa wakati tuna ligi yetu.
Halafu mlivyo na dharau sisi tunalalama nyie hamtujibu chochote.
Kama ni hivyo basi hela iliyotolewa na FIFA ni ya Tanzania na hivyo TFF wanatakiwa kuwapa fungu lao, na FIFA hawawezi kuwa na tatizo. Wawape mgao wao. Yaani kwenye hela wanakuwa tena hawtambuliki kivipi sasa?Zanzibar kamwe haiwezi kupewa unachama kwa kuwa kwa vigezo vya FIFA, sio nchi bali ni sehemu ya Tanzania.
Nafikiri huo ndio utakuwa wajibu wa mdhamini, kuziwezesha club kufika kila mahali kwani Namungo wanapotoka Lindi mpaka kagera nani anawawezesha?Hawawezi kukubali ligi moja hata siku moja.
Fikiria hao Mlandege au Small Simba wakacheze Kagera, waende, Mtwar halafu waende Mbeya. Zanzibar na udogo wake wanashindwa itakuwa Tanganyika?
Njia nyingine wafikirie kugombea nafasi ndani ya TFF japo ni wazi uwezekano wa kupenya ni sawa na sifuri.
Kama ni hivyo basi hela iliyotolewa na FIFA ni ya Tanzania na hivyo TFF wanatakiwa kuwapa fungu lao, na FIFA hawawezi kuwa na tatizo. Wawape mgao wao. Yaani kwenye hela wanakuwa tena hawtambuliki kivipi sasa?
Mkuu, si ulisikia Namungo hana nauli ya kuondoka Mbeya? Ilibidi Harmonize awatumie nauli 3MNafikiri huo ndio utakuwa wajibu wa mdhamini, kuziwezesha club kufika kila mahali kwani Namungo wanapotoka Lindi mpaka kagera nani anawawezesha?
Sent using Jamii Forums mobile app