Zanzibar wanaliliaje hela ya FIFA na wao si mwanachama

Zanzibar wanaliliaje hela ya FIFA na wao si mwanachama

Zanzibar mara nyingi wamekuwa wakilalamika hawana mdhamini kwenye ligi yao hata kwenye vilabu vyao ,tatizo zanzibar hawaruhusu makampuni ya pombe na betting kudhamini
Wanapaswa kutambua kuwa TFF inasimamia mpira wa Tanzania.. kwa maana nyingine Tanzania inapaswa kuwa na ligi moja tu.. hizo nyingine ni tamaa tu za matumbo yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zanzibar kamwe haiwezi kupewa unachama kwa kuwa kwa vigezo vya FIFA, sio nchi bali ni sehemu ya Tanzania. FIFA inatambua members wa UN. Kuna exception ya United Kingdom kwa sababu za kihistoria. Hawataki tena kurudia kosa hilo.

Mgao wa hela ya FIAFA na mambo mengine inaweza kuwa ni local arrangement ndani ya TFF. Zanzibar iwe treated kama special zone na mgawo wao uwepo kikanuni.

Vinginevyo tutapiga sana kelele hadi kiama. Alipata uanachama wa CAf ukaja kufutwa na Rais wa sasa. Hiyo ingekuwa nhgao ya kuombea uanachama wa FIFA japo bado ingekuwa vigumu sana.

acha kuropokwa ovyo mkuu, Hongkong, Nepal, Taiwan, Macau hawa je ni member wa UN? au United Kingdom?
 
acha kuropokwa ovyo mkuu, Hongkong, Nepal, Taiwan, Macau hawa je ni member wa UN? au United Kingdom?
Issue ya UK ina sababu zake za kihistoria.
Halafu Taiwan ni member wa FIFA? Hili sina uhakika nalo.
Lakini kikubwa, FIFA wana hiyo principle sasa hivi. Usipokuwa UN member forget about membership.
Finally be diplomatic in your language. Hakuna mtu anaropoka ovyo. Argue with without insulting.
 
Back
Top Bottom