Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Hii hali kuna siku itatugharimu kwa jina la "tunalinda na kuenzi muungano!"Serikali ya CCM inafanya mambo ya kijinga bila aibu. Yani utadhani mapepo na yameshindwa kudeliver yanang'ang'ania kubaki madarakani.
Yanaudhi kupita maelezo