Zanzibar 2020 Zanzibar: Wananchi Walalamikia Majina yanayoenda kupiga kura ya mapema, wawakana

Serikali ya CCM inafanya mambo ya kijinga bila aibu. Yani utadhani mapepo na yameshindwa kudeliver yanang'ang'ania kubaki madarakani.

Yanaudhi kupita maelezo
Hii hali kuna siku itatugharimu kwa jina la "tunalinda na kuenzi muungano!"
 
Mpiga kura maalum aliyezaliwa 1949 anafanya kazi gani serikalini?Naye bado ni askari wa kulinda Amani 28/10/2020?
 
Mpiga kura maalum aliyezaliwa 1949 anafanya kazi gani serikalini?Naye bado ni askari wa kulinda Amani 28/10/2020?
HUyo ana miaka 71 tu! Unashangaa nini? Watu mmekariri mambo ya kustaafu at 60, hayo kwingine ni namba tu ndugu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…