Hili bango linaonyesha ubaguzi wa aina fulani. Mleta bango unachosema ni nini - eti Zanzibar na Pemba - hakuna wasiokuwa Waislamu!? Ni kweli hicho unachosema au unadhani Unguja na Pemba hakufikiwi na watu wengine kiasi cha kuchangamana? Wale wanaolima kwa mikataba na tayari ni wakazi wa huko hawawezi kuwa hivyo na kuwa na haki ya kupiga kura za mapema? Tuache kutafuta vijisababu vya kushindwa mapema!