Zanzibar: wasichana wanaodaiwa kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile kukwepa kupata ujauzito, wanastahili adhabu Kisheria

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Your browser is not able to display this video.
Wakili na Mwanasheria wa Jeshi la Polisi nchini Kamisheni ya Zanzibar, Sadik Ali Sultan amesema wanaokubali kuingiliwa kinyume na maumbile wana makosa kwa mujibu wa sheria na wanastahiki kushtakiwa na kufungwa kutumia adhabu ya makosa yao.

Akitoa elimu ya kupinga vitendo vya udhalilishaji huko Kinyasini Wilaya ya Kaskazini A, Sadiki amesema hali hiyo inawaathiri zaidi baadhi ya wasichana wanaodaiwa kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile kukwepa kupata ujauzito, hivyo amewaasa kuacha tabia hiyo.

Wakuu mmesikia mbinu za mabinti😎

Soma Pia:
 
Kumbe ni kweli daah
 
Polisi wadili na mambo ya msingi as per PGO. Mnakumbuka last time walimkamata Yule Askari kuwa ni Shoga baadae wakaja kumfutia mashtaka mahakamani? Zanzibar ni Nchi ya dini hakuna ufirauni
 
hawa jamaa wanshindwa ku deal na mambo ya msingi wapo bzy kudeal na upuuzi. hii nchi na majanga sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…