Zanzibar: Watalii wanne kutoka Israeli watimuliwa Hotelini kwa kulalamika kuhusu gari kuandikwa "Free Palestine"

Waeleweshe haya Magaidi ya kiyahudi ni majinga na mabinafsi sana
 

Mwenye Hotel ni mzungu watu wenye akili hao na kuthamin utu usiumie sana nduguyangu hao jamaa hakuna nchi inawapenda ni misukule tu ya waafrika wasiojitambua
 
Inaweza kuwa sio kweli maana wakaazi wengi wa Arusha customer care ni kama wanaozaliwa nayo tofauti na hao wala urojo.
 
Nina uhuru wa kujikita katika jambo lolote au uhuru wangu wakukarahisha ? Na kama hakuna hoja sipaswi kukuambia hakuna hoja ?!
Mambo kama haya yanatokea kwa watu ambao wanahitaji kujiambia kuwa wameshinda katika mjadala. Wewe jifanyie lolote linalokufanya kujisikia mshindi hakuna anayekuzuia.
 
Mambo kama haya yanatokea kwa watu ambao wanahitaji kujiambia kuwa wameshinda katika mjadala. Wewe jifanyie lolote linalokufanya kujisikia mshindi hakuna anayekuzuia.
Sijaingia katika mjadala kusaka ushindi dhidi yako.

Hakuna faida yoyote nayopata mpaka kuona ushindi kitu cha maana sana kwangu
 
Sijaingia katika mjadala kusaka ushindi dhidi yako.

Hakuna faida yoyote nayopata mpaka kuona ushindi kitu cha maana sana kwangu
Ndo akili yako inavyokutuma. Unahitaji ushindi ndo maana unakomaa na majibu.

Nimekuambia vizuri tu, kama hatuelewani endelea na mambo mengine ila unakazanaa, mara haki, sijui hoja. Hahaha. Mkuu embu endelea na mambo mengine, tujadili mengine hili acha lipite.
 
Unatetea Magaidi wa Kiyahudi
 
Hayo ya ushindi wewe ndio uliyoyaleta hapa wenda ndicho unacho pigania.

Uwe unasoma hata unacho andika kabla ya kuchapisha hapa.
 
Hayo ya ushindi wewe ndio uliyoyaleta hapa wenda ndicho unacho pigania.
Baada ya kusema hunielewi, nikakwambia kama huelewi basi tuachane na hii hoja ukaja na mambo ya hakuna hoja, una haki sijui za kusema hakuna hoja basi tu ilimradi uendelee na majadiliano hata kama hakuna sababu tena.

Haya tuendelea na majadiliano. Ulisema Wapalestina na meneja wamefanyaje?
 
Ni gari ya manager, host wa hao wageni, mwenyeji wao, na huyo Manager ana access na file la booking za hao wageni, ambao passport yao ni ya Israel, kuwa kama mtu mwenye akili.
Mbona hauleweki
 
Ulipoenda ni mbali na hoja.Tufanye biashara kwa weledi zaidi na si kuongozwa kwa historia,simulizi au kulishana chuki.Tofautisha kuwa mnyonge na kuwa mweledi.
Katika biashara usiruhusu mteja kuja na masharti yake yeye ndiyo anatakiwa kufuata vigezo na masharti pale alipofuata huduma na kama anaona hawezi anatafuta sehemu itakayompendeza bila hivyo ipo siku atakwambia hataki watu wa jamii fulani waje hapo au mavazi ya aina fulani hataki au chochote kingine anachoona hakimpendezi yeye,hiyo si kuvutia wateja bali utakuwa utumwa.
Ndiyo maana kuna hotel haziruhusu pombe,haziruhusu kufanya uzinifu kama watabaini na vitu kama hivyo kwahiyo mteja kazi kwake kuamua anachokitaka.
 
Uk, America, na nchi nyingi hizo zinazoitwa za kimataifa wananchi walifanya maandamano huku wakiwa wameshika mabango yalioandikwa free Palestine. London Bridge ilitaka ku fall down kwa uwingi wa watu
Hao Waisrael wanne hawawezi kubadilisha chcht, waache fujo
 
Hawakujua kuwa Zanzibar ni taifa la magaidi
 
Kwa hiyo mfano kwako hauwezi kuweka bango linalozuia ushoga, kwa kuhofia kuwakwaza mashoga? Na je mbona sehemu nyingi hubandikwa picha ya Yesu ilihali hata waislam huhudumiwa hapo?
Soma uzi wote ujifunze tulichojadili.
 
Kwa hiyo mfano kwako hauwezi kuweka bango linalozuia ushoga, kwa kuhofia kuwakwaza mashoga? Na je mbona sehemu nyingi hubandikwa picha ya Yesu ilihali hata waislam huhudumiwa hapo?
Pamoja na imani na maadili yako,unapaswa utumie akili.Emotions unaacha nyumbani mtu wangu.
 
Hii haijatokea kwa bahati mbaya, hii ilipangwa iwe hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ