Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Historia ya kuanzishwa kwa taifa la israeli mwala 1947 hata ukiingia Google utasoma. mbona siyo siri mkuu? Na wayahudi kuja palestina mbona ipo wazi sana. Nilianza kusikia huu mgogoro pale wayahudi walipotangaziwa kuundwa kwa taifa la israeli.Wewe ni mtu mzima.Hebu tulia.Hivi ulianza kusikia kuhusu Israeli na Palestine kuanzia lini?Walitokea wapi hao wawili?Waliishi nchi gani?Ukipata majibu ndiyo urudi kujiuliza:Je,hao wote wawili bado wapo kwenye nchi/ardhi/maeneo sahihi hadi leo hii?Kuna mmoja amemdhulumu mwenzie?
Kama mapadre tu mliwamwagia tindikali,vipi hao Waizraeli wakiweka "makazi" kabisa itakuwaje?Tunataka kufanya biashara/hela zao lakini bado hatuachi u-fundamentalists!Nadhani waje wawekeze hotel ili wafikie hizo hotel
Wewe unajuaje huyo manager ni Mtanzania?Wewe ndiyo umeingiza udini/uislamu hapo.Watanzania jumlisha na wazanzibari ni watu wasiopenda kufanya kazi kiuweledi zaidi.Na si hivyo tu.Wana viburi,kuzira na kutonyenyekea vyanzo vya mikate yao.Kwa kiingereza wanaitwa "wagaya siida"/hawapendi shida,kuulizwaulozwa wala kusumbuliwa na kusumbua akili zao.Meneja na his coy hapo hotelini wametudhihirishia tabia hizo halisi za watanzania wengi.
Kwa hiyo,hadi umri huo ukasomeshwa/kupigwa sound kwamba Izraeli ilianza kama taifa mwaka 1947?Kweli?Sir John Roberts of all the people!🤣🤣🤣🤣🤣🤣Historia ya kuanzishwa kwa taifa la israeli mwala 1947 hata ukiingia Google utasoma. mbona siyo siri mkuu? Na wayahudi kuja palestina mbona ipo wazi sana. Nilianza kusikia huu mgogoro pale wayahudi walipotangaziwa kuundwa kwa taifa la israeli.
Sisi watanzania kwetu mtu kulalamika ni sawa na kuleta fujo. Sisi ukifanyiwa chochote hata kama kimekuudhi, ukiulizwa vipi unasema "safi tuu". Wenzetu wanajua haki zao na wanapoona zinakiukwa hawakai kimya, sisi tunawaona wakorofi.Hoja ni kwamba,tumeandikiwa maneno..."after complaining "..!Swali ni,Je,complaining tafsiri yake kwa kiswahili ni nini?
-ni kulalamika AU
-kuleta fujo?
Wangetupa ufafanuzi zaidi kwa ajili ya afya ya sekta ya utalii.
Kwahiyo wangetokea wageni wengine wakasema tuko concerned na usalama wetu kwasababu room number 3 na 4 kuna waisrael ingekuwa sawa management ya hotel kuwaondoa hao waisrael ili hao wageni wengine wasiwe concerned ?Wao walikuwa concerned na usalama wao .Sababu pale ni hoteli .Ina maana walipoingia hawakuona kitu kama hicho .Yawezekana huyo meneja baada ya kuona kuna waisrael hapo na ukereketwa wake wa kidini akaenda kuandika gari yake Free Palestine kwa makusudi ya kuwasuta au kuwapa mipasho hao wateja wake wayahudi.Hotel sio sehemu ya mwenye hotel au meneja kuwasuta au kuwapa mipasho wateja wake.Alichokifanya ni kuwapa mipasho na kuwasuta wateja wake kwa maandishi kwenye eneo la kupaki magari.Kibiashara haiko sahihi
Kama mtu kama wewe kweli huwa unafanya promotion za utalii nje ya nchi, basi ndiyo maana tuna vivutio luluki lakini hatuna watalii. Ila siamini hata kidogo. Mtu mwenye exposure na elimu nzuri hawezi kuwa na ubongo fyongo kama wa kwako. Mimi ni mkristo, ila kitendo cha kusema huyo meneja yuko sahihi, tayari kimekufanya uniweke kwenye kundi la dini ya kiislam? What a stupid way of analysing things!Laiti ungalijua nachofanya ungeelewa, mimi naenda nje ya nchi kila mwaka kufanya promotions za utalii, ngoja niishie hapo.
Unaweza ukawa unaenda lakini hujui unachofanya pia...Laiti ungalijua nachofanya ungeelewa, mimi naenda nje ya nchi kila mwaka kufanya promotions za utalii, ngoja niishie hapo.
Kama umesoma nilichoandika pale awali,niliomba wangetoa ufafanuzi kuhusu neno "complaining " ili tujifunze kwa upana wake na tusilaumu.Wewe unajuaje huyo manager ni Mtanzania?
Unaoteaotea mambo tu, huna taarifa za kutosha na unabahatisha bahatisha tu ilimradi upinge.
Waeleweshwe nini ?Kulikuwa na muda wa kuwaelewesha hao watalii na siyo kuwafurusha.
Hiyo sasa inaonyesha Zanzibar mna mizuka ya kidini?Zanzibar watalii wanne wa Ki Israel wametimuliwa baada ya kuleta fujo ndani ya hotel baada ya kuona gari la manager wa Hotel Hiyo Ina stika za Free Palestine
[emoji599][emoji1134][emoji1193] FOUR ISRAELIS were KICKED OUT OF A HOTEL in Tanzania for complaining about the "FREE PALESTINE" badge on the manager's car.
View attachment 2968844
Four Israelis were kicked out of a hotel in Tanzania for complaining about the free Palestine badge on the manager's car.
The Canary Nungwi Hotel in Zanzibar kicked out four Israelis who interrogated a receptionist about a vehicle parked outside the premise with stickers that read "Free Palestine." The Israelis were told the vehicle belonged to the manager of the hotel, and they were eventually kicked out after complaining that the vehicle was causing them "concern."
huyo meneja wa hotel ni mpuuzi aelimishwe biashara yenye kuhitaji wateja mchanganyiko haiendeshwi kwa mihemko ya kushabikia magenge ya kigaidi/kisiasa/kidini na mengine mengi yawe huru. Biashara inataka uwe unavutia kila mteja, usiwaudhi watejaHotel au sehemu yenye kutoa huduma kwa watu wenye itikadi,imani,maono mchanganyiko unawekaje vitu vitakavyowakwaza?Kutokujielewa huko na kuharibu biashara.
Unaona sasa akili halisi ya mtanzania?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Waeleweshwe nini ?
Walitakiwa wafukuzwe na hata mamlaka za Zanzibar ziwa deport mara moja
Kwahiyo hotel ime exist all these years and it keeps receiving clients huku staff wake wakiwa hawana mafunzo ya kukirimu wateja kiuweledi?Hiyo ni sehemu ya biashara.Hatumchukui Ashura au Joni asiye na mafunzo ya kukirimu wateja kiuweledi.Sasa kuna haja gani ya kupeleka watu vyuo vya mambo ya uongozi mahiri wa hoteli kama huduma zenyewe siyo pursuasive kama hizo?Huduma zitolewapo zina miongozo/rules.And,rules are rules.Withou rules we are all savages!Ndiyo hapo tunafikia kufurusha wageni hotelini.
May 14, 1948 . Founded.Kwa hiyo,hadi umri huo ukasomeshwa/kupigwa sound kwamba Izraeli ilianza kama taifa mwaka 1947?Kweli?Sir John Roberts of all the people!🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hayo maneno yanawaumiza nini ? Yanakufanya ukose usingizi? sasa mnarukaruka, kwahiyo kungekuwa na bendera tupu wasingekuwa concerned ? ndivyo walivyokwambia?Ni bendera tu hazina maneno yeyote .Hilo gari lingekuwa na bendera tu bila maneno tena iko ndani ya gari wasingelalamika
Shida hayo maneno.Sasa mfano una tension ya kukodisha unaweka bingo free Palestine. Hivi unategemea nini?
Magari mengi hata maduka huwa na maneno ya dini lakini ya heri sio shari ya kivita.Maneno kama Mungu bariki biashara yangu nk
Kuweka hayo ya Free Palestine hapana
Ni makosa kuweka vitu vya aina hiyo kwenye biashara. Mteja anayo haki ya kulalamika endapo akikuta vitu hivyo.Mbona kwenye mabasi mmetujazia mabendera ya israeli utadhani tupo Tel aviv au mnafikiri kila mtu anawapenda hao majambazi?
Who knows?Imekuwa bahati habari hii imetufikia kupitia media.Hatujui mangapi hutokea.Na vilevile hatujui ni kwa kiwango gani watalii wetu nao wana malalamiko/complains!Funny enough,unaweza kukuta walioleta habari hiyo walidhani/walitarajia kuuonesha umma kwamba hoteli zetu zipo makini na zinawaadabisha watalii.Kumbe the vice versa is on the way!Kwahiyo hotel ime exist all these years and it keeps receiving clients huku staff wake wakiwa hawana mafunzo ya kukirimu wateja kiuweledi?
Au wote waliokaa hapo sio wateja ila hayo magaidi mauaji ndio wateja pekee?
Huyu manager ni shujaa na anastahili nishani. Hayumbishwa na vipande vya fedha na amesimamia analoliamini.Manager is a neutral point, Hotel inahudumia wato wote, hapaswi ku engage na hayo Mambo, ni Mpumbavu kabisa.