Zanzibar watamkumbuka sana Magufuli kwa kuwapatia Rais Bora

Zanzibar watamkumbuka sana Magufuli kwa kuwapatia Rais Bora

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Huyu Genius Magufuli japo simpendi maana aligoma kuuza bandari lakini aliwasaidia sana Wazanzibari. Mifumo ya Zanzibari ilimtaka Nahodha lakini JPM akampiga panga akawapelekea Mwinyi, huu ukawa mwanzo wa Zanzibar mpya.

Genius Magufuli angeendelea kuongoza hii nchi sisi mafisadi tungeteseka sana ila nyie raia mngekuwa mbali sana. Hiyo treni ya mwendokasi ingekuwa inafika Mwanza, tozo zisinge kuwepo, watu wasingeruhusiwa kula mali za umma kwa urefu wa kamba zao n.k.
 
Huyu Genius Magufuli japo simpendi maana aligoma kuuza bandari lakini aliwasaidia sana Wazanzibari. Mifumo ya Zanzibari ilimtaka Nahodha lakini JPM akampiga panga akawapelekea Mwinyi, huu ukawa mwanzo wa Zanzibar mpya.

Genius Magufuli angeendelea kuongoza hii nchi sisi mafisadi tungeteseka sana ila nyie raia mngekuwa mbali sana. Hiyo treni ya mwendokasi ingekuwa inafika Mwanza, tozo zisinge kuwepo, watu wasingeruhusiwa kula mali za umma kwa urefu wa kamba zao n.k.
Hakuna mtanganyika mwenye mapenzi mema na nchi hii angetuletea Fisadi na mafisadi kuja kuitafuna nchi tuliyoijenga wote kwa jasho la Watanganyika tangu miaka ya 70.

Viwanda zaidi ya 300 vilijengwa kwa Jasho la watanganyika maskini chini ya mfumo imara wa kijamaa lakini ghafla wakaja Mabepari uchwara waliotokea Zanzibar katika familia maskini wakajibinafshia mali za umma kwa gharama nafuu na sasa wanawaona watanganyika ni wajinga wasio na uzalendo wa kulinda mali zao.

Wanatuletea mifumo ya kimarekani kwa katiba ya Cuba .

CCM na genge liliojaa mabepari wageni wanakwapua mali za umma kupitia katiba ya Kijamaa.
Ni uhuni mkubwa sana umefanywa na genge la wapigaji wenye kufuru juu ya Watanganyika wapole na wakarimu.
Walikwapua lashirika yote ya umma na kuwapa marafiki zao wenye asili ya Asia na sasa wanakwapua Mbuga za wanyama na ardhi yote ya wafugaji na wakulima na bahari ya wavuvi
 
Huyu Genius Magufuli japo simpendi maana aligoma kuuza bandari lakini aliwasaidia sana Wazanzibari. Mifumo ya Zanzibari ilimtaka Nahodha lakini JPM akampiga panga akawapelekea Mwinyi, huu ukawa mwanzo wa Zanzibar mpya.

Genius Magufuli angeendelea kuongoza hii nchi sisi mafisadi tungeteseka sana ila nyie raia mngekuwa mbali sana. Hiyo treni ya mwendokasi ingekuwa inafika Mwanza, tozo zisinge kuwepo, watu wasingeruhusiwa kula mali za umma kwa urefu wa kamba zao n.k.
Hakuna mtanganyika mwenye mapenzi mema na nchi hii angetuletea Fisadi na mafisadi kuja kuitafuna nchi tuliyoijenga wote kwa jasho la Watanganyika tangu miaka ya 70.

Viwanda zaidi ya 300 vilijengwa kwa Jasho la watanganyika maskini chini ya mfumo imara wa kijamaa lakini ghafla wakaja Mabepari uchwara waliotokea Zanzibar katika familia maskini wakajibinafshia mali za umma kwa gharama nafuu na sasa wanawaona watanganyika ni wajinga wasio na uzalendo wa kulinda mali zao.

Wanatuletea mifumo ya kimarekani kwa katiba ya Cuba .

CCM na genge liliojaa mabepari wageni wanakwapua mali za umma kupitia katiba ya Kijamaa.
Ni uhuni mkubwa sana umefanywa na genge la wapigaji wenye kufuru juu ya Watanganyika wapole na wakarimu.
Walikwapua lashirika yote ya umma na kuwapa marafiki zao wenye asili ya Asia na sasa wanakwapua Mbuga za wanyama na ardhi yote ya wafugaji na wakulima na bahari ya wavuvi
 
Huyu Genius Magufuli japo simpendi maana aligoma kuuza bandari lakini aliwasaidia sana Wazanzibari. Mifumo ya Zanzibari ilimtaka Nahodha lakini JPM akampiga panga akawapelekea Mwinyi, huu ukawa mwanzo wa Zanzibar mpya.

Genius Magufuli angeendelea kuongoza hii nchi sisi mafisadi tungeteseka sana ila nyie raia mngekuwa mbali sana. Hiyo treni ya mwendokasi ingekuwa inafika Mwanza, tozo zisinge kuwepo, watu wasingeruhusiwa kula mali za umma kwa urefu wa kamba zao n.k.
John Pombe Joseph Magufuli ANAENDELEA kuishi japo hatupo naye kimwili....

He was a really zealout son of our nation ,May his soul rest in eternal peace ,amen !!

His gratitude to his home country led us to have two Presidents who are really devoted to their fellow countrymen ,Her Excellency President of the URT Dr. Samia Suluhu Hassan and His Excellency President of Zanzibar Dr.Hussein Mwinyi [emoji7][emoji7][emoji2956][emoji2956]

We thank Almighty God [emoji7][emoji7]

#Nchi Kwanza [emoji7]
 
Sjui ni lini tena TANZANIA Mungu ataikumbuka na kutupatia John Magufuli mwingine

Siwapendi mafisadi, kwani hao ndio wamekuwa sababu ya Watanzani kupata huduma duni

Wauza ngada ndio haswaa wanaosababisha vijana wengi wa nchi hii kuwa mazezeta wanaoifagilia ccm iliyojaa manyonyaji
 
John Pombe Joseph Magufuli ANAENDELEA kuishi japo hatupo naye kimwili....

He was a really zealout son of our nation ,May his soul rest in eternal peace ,amen !!

His gratitude to his home country led us to have two Presidents who are really devoted to their fellow countrymen ,Her Excellency President of the URT Dr. Samia Suluhu Hassan and His Excellency President of Zanzibar Dr.Hussein Mwinyi [emoji7][emoji7][emoji2956][emoji2956]

We thank Almighty God [emoji7][emoji7]

#Nchi Kwanza [emoji7]
Sa100 hana sifa za kuwa rais, anaweza kuwa mjumbe wa nyumba 10 sio rais.
 
Huyu Genius Magufuli japo simpendi maana aligoma kuuza bandari lakini aliwasaidia sana Wazanzibari. Mifumo ya Zanzibari ilimtaka Nahodha lakini JPM akampiga panga akawapelekea Mwinyi, huu ukawa mwanzo wa Zanzibar mpya.

Genius Magufuli angeendelea kuongoza hii nchi sisi mafisadi tungeteseka sana ila nyie raia mngekuwa mbali sana. Hiyo treni ya mwendokasi ingekuwa inafika Mwanza, tozo zisinge kuwepo, watu wasingeruhusiwa kula mali za umma kwa urefu wa kamba zao n.k.
Ondoa neno genius kaka ni kulikosea heshima weka Atleast mshamba
 
Huu ndio ujinga. Yaani waache kujishukuru wenyewe kwa kumchagua wamshukuru mtu mmoja ambaye hata kura hakumpigia huko Zanzibar
 
Back
Top Bottom