ZANZIBAR: Yanga SC yang'oka Mapinduzi Cup baada ya Chirwa kumkabidhi mpira kipa

ZANZIBAR: Yanga SC yang'oka Mapinduzi Cup baada ya Chirwa kumkabidhi mpira kipa

boy lanugo

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2015
Posts
290
Reaction score
272
Mechi ya yanga na URA inaenda kuanza mda si mrefu.


Kikosi cha yanga cha Leo

1. Youthe rostand
2. Kesi
3. Mwinyi
4. Vicent dante
5. Yondani
6. Papy Kabamba Tshishimbi
7. Buswita
8. Makapu
9. Ajibu
10. Emanuel Martin
11. Juma Mahadhi


Dakika ya tano URA wanaonekana wamepania hapa

=====

ZANZIBAR: Klabu ya Yanga imetolewa katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe ya Mapinduzi baada ya kufungwa na URA ya Uganda.

Hii ni mara ya tatu Yanga SC kutolewa katika michuano hiyo kwa njia ya Penalti. Huku ikiwa ni mara ya pili kutolewa na URA ya Nchini Uganda.

Katika piga ni kupige za mikwaju ya penati Mzambia Obrey Chirwa ashindwa kuweka mpira kimiana na kumkabidhi goli kipa
 
Gooooooooo, wanakosaa dah! umeme umekatika!
 
goooooooooooo
njeeeeeeee
ha konaaaaaaa
 
Watabanaweeee ila watatoka tu hata mwa mikwaju au bakora pumbavu zaoo mi naomba wauza ngada wapigweeeee
 
Huyu mwenye thread kaenda ikulu kumpongeza rais au? Mbona hatupi apdates.
 
Back
Top Bottom