Democrasia ndo chanzo cha ushoga duniani!!inchi zinazojidai kutetea haki za binadam na demokrasia km marekan,wingereza,ufaransa ndio zinazoongoza kwa ushenz wa ushoga na usagaji!!,
pia,zanzibar hakukua na uhuru wa ndoa ya jinsia moja,so mtoa mada ungesema kua zanzibar yatunga sheria kuzuia ndoa za jinsia moja,lkn ukisema yapiga marufu kwani hapo zamani iliruhusiwa?