shokoshugi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2015
- 269
- 390
Kweli nyumba ni chooKuna bideo moja mmama ina trendile nguo khaaa uchi kabisaaa....lazima wafanye hivyo
View attachment 3183252
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli nyumba ni chooKuna bideo moja mmama ina trendile nguo khaaa uchi kabisaaa....lazima wafanye hivyo
View attachment 3183252
Umesahau tanzania tuliambiwa ss ni maiti.Hii Nchi ina watu waliooza Sio Bara wala Pwani
......kusimamisha kwa muda ili kutoa muongozp sasa....tuwape muda warudi...Ilitakiwa watoe muongozo wa mavazi.
Tuseme jambazi limekimbilia msituni basi solution ni kuchoma msitu?
Sio kweli asee.
Wageni hao....uzungu mwingiMashaAllah 🥸🥸🥸
Huu ni uwendawazimu, kwahiyi tatizo ni uoigaji makachu au kuvaa uchi?Kuna bideo moja mmama ina trendile nguo khaaa uchi kabisaaa....lazima wafanye hivyo
View attachment 3183252
Kwangu mimi, hii sio sawa... Maadili niyapendayo hayaendani na hili.Kuna bideo moja mmama ina trendile nguo khaaa uchi kabisaaa....lazima wafanye hivyo
View attachment 3183252
Kwa jinsi navyoijua zanzibar hizi ni kelele za geresha tu. Hakuna hatua yoyote watakayochukua.Mamlaka ya Mji Mkongwe Zanzibar imepiga marufuku upigaji wa makachu katika eneo la bustani ya Forodhani baada ya kudaiwa kufanyika kwa matendo ambayo ni ukiukwaji wa maadili ya Zanzibar na kufanyika kwa baadhi ya uharibu katika eneo hilo
Taarifa iliyotolewa na Mamlaka hiyo imesema uamuzi huo umefikiwa baada ya kuona kuna ukiukwaji wa sheria, kanuni na miongozo yaliyojitokeza kwa vijana wa makachu katika eneo hilo ambapo inahusisha pia upigaji makachu kwa kutumia mavazi yanayokwenda kinyume na Utamaduni, Uharibifu wa mifereji na miundombinu mengine ikiwa ni pamoja na kutumia madebe taka kufanyia vichekesho (comedy).
Aidha mamlaka hiyo imesema imesimamisha shughuli hizo hadi kukamilika na kuandaa utaratibu wa kuimarisha utendaji kazi hizo kwani Serikali inatambua mchango mkubwa unaofanywa na vijana hao katika kuutangaza Utalii wa Zanzibar Kimataifa.
Vilevile Mamlaka hiyo inaendelea kufanya uchunguzi wa matukio hayo na kuwachukulia hatua wale wote waliobainika kutenda makosa hayo ikiwemo uharibifu wa miundombinu.
Hivi karibuni ilisambaa video ikionesha baadhi ya Raia ambao ni wa Kigeni kupiga makachu katika eneo hilo wakiwa na nguo ambazo haziendani na maadili ya Zanzibar.