Zanzibar yapiga marufuku upigaji wa makachu Forodhani hadi serikali itakapoandaa utaratibu maalum wa shughuli hiyo

Ilitakiwa watoe muongozo wa mavazi.

Tuseme jambazi limekimbilia msituni basi solution ni kuchoma msitu?

Sio kweli asee.
......kusimamisha kwa muda ili kutoa muongozp sasa....tuwape muda warudi...
 
ukishaamua kupata pesa za utalii jiandae na cosequence zake. ukianza tena kuweka mashart ni kama jela. tatizo la makachu pale ambalo mim niliona sio zur ni ku dive maji madogo. yakiwa hayajakupwa. ile mbaya
kusema watalii wasipige makachu mtakua hamjafikiriq vizur in economics ways. zile clips zinavosambqa dunian ni ajab sana unaweza kuta mtu aanapanda ndege just kuja kupiga makachu . haya upo taayri kupoteza hela.??
define kwaza vacation na tourism ndio mtajua mnaanzia wap nyie watu wa Mamlaka ya mji mkongwe.
 
Kwa jinsi navyoijua zanzibar hizi ni kelele za geresha tu. Hakuna hatua yoyote watakayochukua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…