Zanzibar yatangaza ongezeko la Wagonjwa 29 wa COVID19. Jumla ya visa visiwani humo yafikia 134 (Mei 07, 2020)

We jamaa nitakushtaki kwa uharibifu wa mbavu zangu.😂😂🤣
 
Who’s WHO?
 
Majuzi walisema sijui vifaa vimekuwaje wanavifunga tena...Kama hizi ni za kweli well&good..La sivyo mhh!!!
 
Safi Zanzibar kwa kutoa updates, asili ya hili gonjwa mtu anapopata taarifa mpya ndipo hata anajua achukue tahadhari vipi, acha upande wa pili wa muungano waendelee kuwa kimya, wakisubiri kelele za mitandaoni kwanza ndipo zitatolewa taarifa za mwenendo wa covid 19
 
Bora iwe hivyo maana kuna watu wamejimilikisha nchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hata sisi tunategemea utalii kwa kiasi kikubwa ndo maana tuligoma kukataa kupokea watalii wakati wa janga limeanza kuenea.
Zanzibar wanategemea sana utalii kwenye mapato kwahiyo handling yao kwenye Covid19 inabidi iwe ya akili sana. Wakotuiga sisi huku wamekwisha ndio maana wao wameamua kujisemea ukweli au karibu na ukweli angalau


Sent using Jamii Forums for Iphone App

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…