BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,350
- 1,464
hataritofauti ya karibuni sh 500 kwenye kila lita
Labda kwa wale wajinga kupindukia. Maana bei za mafuta huathiri kila shughuli za kiuchumi. Bei ya mafuta hugusa kila eneo la maisha.Kwenye mafuta Hapo ambao hawaendagi sheli wanachukulia poa tu,
Huku Bara tunasubiri tuone hiyo June mosi, badiliko la ruzuku. Ee Mwenyezi Mungu utusaidie!
YESU NI BWANA.
Matunda ya uvamizi ???Wanafaidi
Sunajua tena nyumba ndogo lazima ipelekewe nyama..ili iendelee kutoa mbususu kiulaini..hii ni taarifa ya Zura(EWURA ya Zenji) mwezi huu tar 4 juu ya bei ya mafuta:
Pettrol - Tsh.2642 , Diesel- Tsh.2644
View attachment 2239284
na hii ni taarifa ya EWURA ya jamhuri tarehe na mwezi kama wa ZURA; Petrol - Tsh. 3148, Diesel - 3258
View attachment 2239287
Maisha tunayoishi huku bara wapemba wasingeweza.
Huna habari kuwa Zanzibar siku hizi ndio Chato ya wakati ule?hii ni taarifa ya Zura(EWURA ya Zenji) mwezi huu tar 4 juu ya bei ya mafuta:
Pettrol - Tsh.2642 , Diesel- Tsh.2644
View attachment 2239284
na hii ni taarifa ya EWURA ya jamhuri tarehe na mwezi kama wa ZURA; Petrol - Tsh. 3148, Diesel - 3258
View attachment 2239287
Maisha tunayoishi huku bara wapemba wasingeweza.
hii ni taarifa ya Zura(EWURA ya Zenji) mwezi huu tar 4 juu ya bei ya mafuta:
Pettrol - Tsh.2642 , Diesel- Tsh.2644
View attachment 2239284
na hii ni taarifa ya EWURA ya jamhuri tarehe na mwezi kama wa ZURA; Petrol - Tsh. 3148, Diesel - 3258
View attachment 2239287
Maisha tunayoishi huku bara wapemba wasingeweza.
hatari
Kwenye mafuta Hapo ambao hawaendagi sheli wanachukulia poa tu,
1. Ndio maana hawataki muungano, sisi tunawarudisha nyuma.
2. Sisi watanganyika haya tunayataka wenyewe kwa kuwachekea viongozi madhalimu.
Huku Bara tunasubiri tuone hiyo June mosi, badiliko la ruzuku. Ee Mwenyezi Mungu utusaidie!
YESU NI BWANA.
Labda kwa wale wajinga kupindukia. Maana bei za mafuta huathiri kila shughuli za kiuchumi. Bei ya mafuta hugusa kila eneo la maisha.
Jesus is Savior
View attachment 2239304
Msikilize wakili msomi ndo utajua kama muungano upo au ni nchi mbili tofauti.
Yesu ataleta mafuta ya bure au vipi ?? natusubiri tu
Wanafaidi
Matunda ya uvamizi ???
Sunajua tena nyumba ndogo lazima ipelekewe nyama..ili iendelee kutoa mbususu kiulaini..
Acha tuwahudumie.
#MaendeleoHayanaChama
Kwa vipi na bado Zanzibar imevamiwa Na kumejaa vikosi vya jeshi la Tanganyika kila mtaa?Huna habari kuwa Zanzibar siku hizi ndio Chato ya wakati ule?