Zanzibari si sehemu ya serikali ya Jamhuri? Hebu ona bei yao ya mafuta

Zanzibari si sehemu ya serikali ya Jamhuri? Hebu ona bei yao ya mafuta

BestOfMyKind

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2012
Posts
1,350
Reaction score
1,464
hii ni taarifa ya Zura(EWURA ya Zenji) mwezi huu tar 4 juu ya bei ya mafuta:

Pettrol - Tsh.2642 , Diesel- Tsh.2644

zanzibar ZURA.JPG

na hii ni taarifa ya EWURA ya jamhuri tarehe na mwezi kama wa ZURA; Petrol - Tsh. 3148, Diesel - 3258

ewura.JPG


Maisha tunayoishi huku bara wapemba wasingeweza.
 
1. Ndio maana hawataki muungano, sisi tunawarudisha nyuma.

2. Sisi watanganyika haya tunayataka wenyewe kwa kuwachekea viongozi madhalimu.
 
Huku Bara tunasubiri tuone hiyo June mosi, badiliko la ruzuku. Ee Mwenyezi Mungu utusaidie!


YESU NI BWANA.
 
hii ni taarifa ya Zura(EWURA ya Zenji) mwezi huu tar 4 juu ya bei ya mafuta:
Pettrol - Tsh.2642 , Diesel- Tsh.2644
View attachment 2239284
na hii ni taarifa ya EWURA ya jamhuri tarehe na mwezi kama wa ZURA; Petrol - Tsh. 3148, Diesel - 3258
View attachment 2239287

Maisha tunayoishi huku bara wapemba wasingeweza.
Sunajua tena nyumba ndogo lazima ipelekewe nyama..ili iendelee kutoa mbususu kiulaini..

Acha tuwahudumie.

#MaendeleoHayanaChama
 
hii ni taarifa ya Zura(EWURA ya Zenji) mwezi huu tar 4 juu ya bei ya mafuta:

Pettrol - Tsh.2642 , Diesel- Tsh.2644

View attachment 2239284
na hii ni taarifa ya EWURA ya jamhuri tarehe na mwezi kama wa ZURA; Petrol - Tsh. 3148, Diesel - 3258

View attachment 2239287

Maisha tunayoishi huku bara wapemba wasingeweza.
Huna habari kuwa Zanzibar siku hizi ndio Chato ya wakati ule?

hii ni taarifa ya Zura(EWURA ya Zenji) mwezi huu tar 4 juu ya bei ya mafuta:

Pettrol - Tsh.2642 , Diesel- Tsh.2644

View attachment 2239284
na hii ni taarifa ya EWURA ya jamhuri tarehe na mwezi kama wa ZURA; Petrol - Tsh. 3148, Diesel - 3258

View attachment 2239287

Maisha tunayoishi huku bara wapemba wasingeweza.


Kwenye mafuta Hapo ambao hawaendagi sheli wanachukulia poa tu,

1. Ndio maana hawataki muungano, sisi tunawarudisha nyuma.

2. Sisi watanganyika haya tunayataka wenyewe kwa kuwachekea viongozi madhalimu.

Huku Bara tunasubiri tuone hiyo June mosi, badiliko la ruzuku. Ee Mwenyezi Mungu utusaidie!


YESU NI BWANA.

Labda kwa wale wajinga kupindukia. Maana bei za mafuta huathiri kila shughuli za kiuchumi. Bei ya mafuta hugusa kila eneo la maisha.


Jesus is Savior

View attachment 2239304
Msikilize wakili msomi ndo utajua kama muungano upo au ni nchi mbili tofauti.

Yesu ataleta mafuta ya bure au vipi ?? natusubiri tu

Wanafaidi

Matunda ya uvamizi ???

Sunajua tena nyumba ndogo lazima ipelekewe nyama..ili iendelee kutoa mbususu kiulaini..

Acha tuwahudumie.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom