Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mwingine alikua childminder analetewa watoto saa moja asubuhi, anawapa breakfast na kuwapeleka shule, saa tisa anakwenda kuwachukua anakaa nao mpaka saa 12 jioni.
Sasa wazazi wa watoto wote wanafanyia kazi nyumbani. Kubarua kimeota nyasi.
Hali ni mbaya sana huku
Mungu atulinde kwa kweli