#COVID19 Zanzibar’s Abeid Amani Karume Airport is failing on COVID-19 safety protocols

Mwingine alikua childminder analetewa watoto saa moja asubuhi, anawapa breakfast na kuwapeleka shule, saa tisa anakwenda kuwachukua anakaa nao mpaka saa 12 jioni.

Sasa wazazi wa watoto wote wanafanyia kazi nyumbani. Kubarua kimeota nyasi.

Hali ni mbaya sana huku
Mungu atulinde kwa kweli
 

Halafu hao wa SA walio kuja Zanzibar tunaambiwa eti wazungu, wazungu gani wanaomba lift gari za mchanga? Wamekimbia SA kuja Zanzibar kuleta covid19, na wengine kuomba kazi kwenye mahotel,

Uhamiaji waangalie hawa jamaa na kutotoa vibali vya kufanyia Kazi, wakati Sisi wenye we hatuna kazi
 
Hapa ilitakiwa kila mtalii akiingingia anapatiwa tangawizi ya moto kweli na kufushwa mchanganyiko maalumu wenye tangawizi na karafuuu 🥶 🥶 🥶 🥶 😛😛 ndani yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…