Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Mkuu una link bomba sana inayojitosheleza kumjibia mtoa mada kifupi.Ngano mkuu. Godoro ni mkate ulioimarishwa!
Just kidding [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Cheki hapa; How Are Latex Mattresses Made?. Ingawa kuna magodoro ya spring pia!!
Lakini mtoa mada kauliza kwamba, malighafi asilia inayotengeneza magodoro ya sponji. Kuna link moja kaeeka member wetu humu, inaeleza kirefu sana jinsi hayo magodoro yanavyotengenezwa.Nikiongezea tu, kuna magodoro mengine yanatengenezwa kwa:
- Manyoya ya ndege (kuku, bata, ndege wengine).
- Spring za chuma (VONO).
- Katani au mkonge.
Haya magodoro mepesi ya siku hizi (foam) hutengenezwa na mchanganyiko wa kemikali na maji. Huu mchanganyiko hutoa mapovu. Haya mapovu yanaumbwa katika mold halafu yanakatwa katika size unayotaka.
Kwa ujumla hizi kemikali ni polymers ambazo zinazotengeneza hii polyurethen au foam. Soma hapo chini au fuatilia hiyo link kama unataka kujua mpaka historia yake.
====================
Most foams consist of the following chemicals: 50% polyol, 40% polyisocyanates, and 10% water and other chemicals. Polyisocyanates and polyols are liquid polymers that, when combined with water, produce an exothermic (heat generating) reaction forming the polyurethane.
How foam rubber is made - material, production process, manufacture ...
www.madehow.com › Volume-5 › Foam...
More results
Sent using Jamii Forums mobile app
Digba . . ,Mi nijuavyo ni kwamba mikate iliyoisha muda wake ndio hukusanywa ili kutengeneza magodoro, nakumbuka nikiwa jeshini makutupora maafande walikuwa wakituambia kuwa " kama mkate hautoshi kata godoro unywee chai" bapa ni baada ya kulalamika kuwa mkate hautoshi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa Mkuu, Mimi mfuasi tuDigba . . ,
Hiyo picha hapo kwenye avatar ni wewe ndugu . . ?!
Una akiliii aisee . . , ndio maana uko magogoni . .
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Utomvu wa mnyaa unachanganywa na amira. Ndo maana panya wanayapenda wanadhani ni mabumunda
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ngano mkuu. Godoro ni mkate ulioimarishwa!
Just kidding [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Cheki hapa; How Are Latex Mattresses Made?. Ingawa kuna magodoro ya spring pia!!
Dahmatope-tope
AsanteNimekaa najiuliza kuwa ni zao gani hutumika kutengeneza magodoro bila majibu....
Sasa najua humu kuna wajuzi wa kila aina watanijulisha tu. Na wengine ni wafanyakazi wa viwanda hivyo.
Ni hayo Tu.
[HASHTAG]#GET[/HASHTAG] WELL LISSU
Sent using Jamii Forums mobile app
GadaraNimekaa najiuliza kuwa ni zao gani hutumika kutengeneza magodoro bila majibu....
Sasa najua humu kuna wajuzi wa kila aina watanijulisha tu. Na wengine ni wafanyakazi wa viwanda hivyo.
Ni hayo Tu.
[HASHTAG]#GET[/HASHTAG] WELL LISSU
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu.Manyoya ya kitimoto yanayeyushwa
SanaKuna watu wanafkiria mbali sana
Kumbe tunalalia mi chemicals? Ndio mana tunapenda ngono...Nimchanganyiko wa kemiko
Polyol
Maji
TDI
Air
Chokaa
Vyote hivyo huchanganywa kwa wakati mmoja (mixtank)
Ila kwa hesabu za ujazo kwa sekunde
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aiseeeNgano mkuu. Godoro ni mkate ulioimarishwa!
Just kidding [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Cheki hapa; How Are Latex Mattresses Made?. Ingawa kuna magodoro ya spring pia!!
Chemicals na ngono zina uhusiano gani kisayansi. Ukilalia ngozi hutakuwa na hamu?Kumbe tunalalia mi chemicals? Ndio mana tunapenda ngono...