Zao gani hutumika kutengeneza magodoro?

Zao gani hutumika kutengeneza magodoro?

Nikiongezea tu, kuna magodoro mengine yanatengenezwa kwa:
- Manyoya ya ndege (kuku, bata, ndege wengine).
- Spring za chuma (VONO).
- Katani au mkonge.

Haya magodoro mepesi ya siku hizi (foam) hutengenezwa na mchanganyiko wa kemikali na maji. Huu mchanganyiko hutoa mapovu. Haya mapovu yanaumbwa katika mold halafu yanakatwa katika size unayotaka.

Kwa ujumla hizi kemikali ni polymers ambazo zinazotengeneza hii polyurethen au foam. Soma hapo chini au fuatilia hiyo link kama unataka kujua mpaka historia yake.

====================
Most foams consist of the following chemicals: 50% polyol, 40% polyisocyanates, and 10% water and other chemicals. Polyisocyanates and polyols are liquid polymers that, when combined with water, produce an exothermic (heat generating) reaction forming the polyurethane.

How foam rubber is made - material, production process, manufacture ...

www.madehow.com › Volume-5 › Foam...

More results





Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini mtoa mada kauliza kwamba, malighafi asilia inayotengeneza magodoro ya sponji. Kuna link moja kaeeka member wetu humu, inaeleza kirefu sana jinsi hayo magodoro yanavyotengenezwa.
Kwamba asili yake ni mti uitwao mpira inayopatikana na kulimwa nchi za mashariki ya mbali.
Huo mpira hugemwa kwa kukatwa gamba kutiririsha utomvu kwenye vyombo maalumu na hatimaye hupelekwa kiwandani kuchakatwa kitaalamu.
Baadaye huzalishwa bidhaa mbalimbali yakiwemo hayo magodoro, matairi nk nk.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nijuavyo ni kwamba mikate iliyoisha muda wake ndio hukusanywa ili kutengeneza magodoro, nakumbuka nikiwa jeshini makutupora maafande walikuwa wakituambia kuwa " kama mkate hautoshi kata godoro unywee chai" bapa ni baada ya kulalamika kuwa mkate hautoshi

Sent using Jamii Forums mobile app
Digba . . ,

Hiyo picha hapo kwenye avatar ni wewe ndugu . . ?!

Una akiliii aisee . . , ndio maana uko magogoni . .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekaa najiuliza kuwa ni zao gani hutumika kutengeneza magodoro bila majibu....

Sasa najua humu kuna wajuzi wa kila aina watanijulisha tu. Na wengine ni wafanyakazi wa viwanda hivyo.

Ni hayo Tu.

[HASHTAG]#GET[/HASHTAG] WELL LISSU

Sent using Jamii Forums mobile app
Gadara
Gedere
Gidiri
GODORO
Guduru
 
Back
Top Bottom