kambale mnene
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 271
- 197
Kweli Yanga wapumbavu wengi sana, yaani zeruzeru afanye ujinga wake tena wa kujirudia rudia na anaamua kuiunganisha taasi kwenye upuuzi wake nao wanamuunga mkono.
Mbona mnatokwa povu! Shida iko wapi? Kama hiyo nakala ya hukumu imeshatolewa, si mumfahamishe tu mtoa mada kistaarabu!Amepata wapumbavu wenzake wanaomuunga mkono kwa huo ujinga wake, Simba haiwezi kukumbatia ushenzi kama huo
Ngoja hersi nae afungiwe muanze kulia liaMbona mnatokwa povu! Shida iko wapi? Kama hiyo nakala ya hukumu imeshatolewa, si mumfahamishe tu mtoa mada kistaarabu!
Tena mnaweza hata kuambatanisha na hiyo nakala kama ushahidi. Lakini sasa maneno meeengi! Halafu hoja hakuna.
Hiyo jeuri ya kumfungia, hawana.Ngoja hersi nae afungiwe muanze kulia lia
Hata kwa zeruzeru mlisema hivyo hivyo. Yaani mnakubali kuingizwa kwenye ujinga wa Haji Manara kiumbe aliyesema nyie wote ni hamnazo?Hiyo jeuri ya kumfungia, hawana.
Wewe unaeamini kapewa thibitishaNa wewe unaamini kuwa hadi juzi Manara alikuwa hajapewa nakala ya hukumu yake?
Wewe utokea kwenye nini?Endelea Kuteseka Hivyo Hivyo
MbumbumbuMbona mnatokwa povu! Shida iko wapi? Kama hiyo nakala ya hukumu imeshatolewa, si mumfahamishe tu mtoa mada kistaarabu!
Tena mnaweza hata kuambatanisha na hiyo nakala kama ushahidi. Lakini sasa maneno meeengi! Halafu hoja hakuna.
Yeye mwenyewe amlisema uwanjani kuwa u-MC wake hauhusiani na michezo, sasa angekuwa hajapewa ingekuwaje ajitetee uwanjani bila barua?Wewe unaeamini kapewa thibitisha
Sasa si mumfungie kama mlivyo mfungia huyo Haji Manara! Maneno mengi ya nini tena!Hata kwa zeruzeru mlisema hivyo hivyo. Yaani mnakubali kuingizwa kwenye ujinga wa Haji Manara kiumbe aliyesema nyie wote ni hamnazo?
Zeruzeru hajafungiwa, au huoni anaendelea kujihusisha na soka!Hata kwa zeruzeru mlisema hivyo hivyo. Yaani mnakubali kuingizwa kwenye ujinga wa Haji Manara kiumbe aliyesema nyie wote ni hamnazo?
Alivyokua Simba alikua anaungwa mkono pia acha unafkiKweli Yanga wapumbavu wengi sana, yaani zeruzeru afanye ujinga wake tena wa kujirudia rudia na anaamua kuiunganisha taasi kwenye upuuzi wake nao wanamuunga mkono.
Mkuu mara nyingi nakuona unatumia hilo neno "Zeruzeru" pengine hauijui Dunia au unafanya maksudi ila nikushauri be carefulKweli Yanga wapumbavu wengi sana, yaani zeruzeru afanye ujinga wake tena wa kujirudia rudia na anaamua kuiunganisha taasi kwenye upuuzi wake nao wanamuunga mkono.
Kama wewe ni mtanzania nikikuita mtanzania ni kutokuijua dunia?Mkuu mara nyingi nakuona unatumia hilo neno "Zeruzeru" pengine hauijui Dunia au unafanya maksudi ila nikushauri be careful