ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Katika situation yoyote ile usicheke ulemavu wa mtu kumbuka huu ni mpira tuKama wewe ni mtanzania nikikuita mtanzania ni kutokuijua dunia?
Huyu Wallace Karia ana mambo ya hovyo. Kwanza anapenda kujiona kama mtu special sana! Halafu ni mtu asiyeweza kuficha kabisa ushabiki wake kwa timu kama Coastal Union na Simba!Chanzo chote Ni viongozi kutotambua nafasi zao, Karia ushabiki wako kwa timu flani utakumaliza. Tambua nafasi uliyokuwa nayo, mapenzi yako na ushabiki wako weka pembeni otherwise anguko lako li karibu Sana.
Ila sope kumdhihaki Mwakalebela kumuita kilo 800 kutokana na maumbile yake mnaona sawa. Huyu hatumuachi ng'o mpaka na yeye ajifunze kuheshimu wengine. Mbona mazeruzeru wapo wengi tu kwanini Haji Manara tu?Katika situation yoyote ile usicheke ulemavu wa mtu kumbuka huu ni mpira tu
Nilitegemea kuona neno amesha pewa hukumuKweli Yanga wapumbavu wengi sana, yaani zeruzeru afanye ujinga wake tena wa kujirudia rudia na anaamua kuiunganisha taasi kwenye upuuzi wake nao wanamuunga mkono.
Ina maana hujui kuwa takadini yuko kifungoni?Nilitegemea kuona neno amesha pewa hukumu
Manara kafanya ujinga ndio hatukatai Basi apewe hukumu ya huo ujinga wake
Amepewa nakala ya hukumu Ana ndio Iyo kifungoni kwa chukiIna maana hujui kuwa takadini yuko kifungoni?
Umeshaanza kuhamisha magoli. Ukweli sope atawagharimu sanaAmepewa nakala ya hukumu Ana ndio Iyo kifungoni kwa chuki
Kisheria nakala ya hukumu hutoka baada ya siku 30Haki ya kukata rufaa kupinga hukumu ni ya mshitakiwa (mhukumiwa).
Hatua hiyo ina taratibu zake, mojawapo ni kumpatia mhukumiwa nakala ya hukumu pamoja na mwenendo wa kesi
Haji Manara anadai kuwa ameomba mara kadhaa vitu hivyo bila mafanikio.
Kuna maswali mengi juu ya hili, machache yake ni haya.
1. Hukumu alipigwa nayo Haji siyo ya haki kiasi kwamba kamati ya nidhamu inaogopa itaaibika huko mbele?
2. Hukumu haikutolewa na kamati bali imetolewa kwa amri ya karia nk.
Mimi naamini Haji Manara amepewa nguvu ya kufanya aliyoyafanya juzi na. TFF kwa kumnyima nakala za kesi Haji manara.
Majeneza fc anajiona ameuliza swali la msingi sana 😃😃😃Kushabikia simba ni jambo jema ni kama vile mtu aliyefanikiwa kupata mwenza wa kufanana naye.
Tatizo la Yanga ni kutoheshimu taratibu na miongozo hata wanayojiwekea.
Haji Manara na Hassan Bumbuli nani msemaji rasmi wa klabu?
Kwahiyo wewe ni mwakalebela au mkewe mwakalebela?Ila yeye kukejeli maumbile ya wengine wewe unaona poa? Unakumbuka alikuwa anamuita Mwakalebela kilo 800? Hivi Haji Manara ndiye zeruzeru pekee katika nchi hii, mbona wengine hawakejeliwi? Ukiishi kwenye nyumba ya kioo usianze kuwarushia watu nawe.
Hivi wewe ni mwakalebela au mke wa mwakalebela?Ila sope kumdhihaki Mwakalebela kumuita kilo 800 kutokana na maumbile yake mnaona sawa. Huyu hatumuachi ng'o mpaka na yeye ajifunze kuheshimu wengine. Mbona mazeruzeru wapo wengi tu kwanini Haji Manara tu?
Kama ndivyo mbona hamumpi ninyi tff hizo nakala za hukumu,mnaogopa nini?Wanasheria wengi wa utopolo ni vilaza ndio maana waliwaaminisha Morison ana mkataba yanga wakatumia pesa kukata rufaa case matokeo yake wakashindwa na kulipa faini juu.
Hukumu yoyote ukiondoa chombo Cha mwisho kukata rufaa mhukumiwa ana haki ya kukata rufaa lakini anatakiwa kukata rufaa ndani ya muda uliowekwa, muda huo unaanza kuhesabika pale Alipewa nakala ya hukumu hivyo Hoja zako hazina mashiko
Baada au ndani ya siku30?Kisheria nakala ya hukumu hutoka baada ya siku 30
Maximum ni siku 30Baada au ndani ya siku30?
Mimi nimekuelekeza taratibu Sina uhusiano na TFFKama ndivyo mbona hamumpi ninyi tff hizo nakala za hukumu,mnaogopa nini?
Haji ni muajiriwa wa Yanga,na tatizo lake limetokea akiwa Yanga,watakachofanya tff hapo ni kumuandikia barua ya onyo mwajiri wake ambae ni Yanga,so tatizo linabakia kwa mwajiri wake kumuambia mwajiriwa wake Haji ManaraHivi iwapo Haji akiendelea na mambo yake itakuwaje, yaani mfano saa hizi wanaamuita Tena kwenye kamati Yao ya maadili na Hersi alafu wawape adhabu ikiwemo kumuongezea Haji adhabu ingine lakini aendelee tu na shughuli zake za Yanga asijali wala Nini kama fine halipi na kujihusisha na soka anaendelea watamfanya Nini.
Wataipa Yanga adhabu? Nao hawalipi wala hawahangaiki itakuwaje, wataitoa Yanga kwenye ligi na michuano mingine ya TFF? Wanaweza jeuri hii?
Nimewaza tu Kwa sauti
Wewe ndo Mwakalebela? Na mbona kipindi hicho hukumkosoa?Ila yeye kukejeli maumbile ya wengine wewe unaona poa? Unakumbuka alikuwa anamuita Mwakalebela kilo 800? Hivi Haji Manara ndiye zeruzeru pekee katika nchi hii, mbona wengine hawakejeliwi? Ukiishi kwenye nyumba ya kioo usianze kuwarushia watu nawe.
Kiongozi wa FA unaingia uwanjani na jezi ya timu mojawapo inayocheza fainali? Refa wa fainali ya uefa alibadilishwa kwa kitendo cha kukubali kupokea tu jezi ya Barca. Lakini Tanzania Rais wa FA anaingia kama shabiki na akikumbana na maneno ya kishabiki anafungua mashitaka.Sijawahi kuwa mpambe wa kiumbe chochote kile hapa duniani. Mimi ni mtu nisiyeweza kuvumilia uonevu.
Sijawahi kuzikubali kejeli na maneno ya kuudhi ya Haji Manara, lakini ni lazima ukweli usemwe! Adhabu aliyopewa ilijaa mihemko, ya kumkomoa, na ilitaka kutuaminisha kwamba Wallace Karia ni mtu mkubwa sana, hata kama na yeye anafanya makosa, hawezi kuadhibiwa! Kitu ambacho si sahihi hata kidogo.
Maana angekuwa ni mtu mwenye mamlaka makubwa kiasi hicho, asingepata muda wa kutupiana maneno na mtu kama Haji Manara kwenye mechi ambayo huyo Wallace Karia alikuwa akishangilia Coastal Union, huku Haji Manara akishangilia Yanga.
Mimi ndiye baba yako wa kibailojia, uteute wa kibailojia uliokutengeneza umetoka viunoni mwangu, muulize bimkubwa wako atakueleza. Niheshimu.Kwahiyo wewe ni mwakalebela au mkewe mwakalebela?