Zao la kumnyima Haji Manara nakala ya hukumu hili

Zao la kumnyima Haji Manara nakala ya hukumu hili

Chanzo chote Ni viongozi kutotambua nafasi zao, Karia ushabiki wako kwa timu flani utakumaliza. Tambua nafasi uliyokuwa nayo, mapenzi yako na ushabiki wako weka pembeni otherwise anguko lako li karibu Sana.
Huyu Wallace Karia ana mambo ya hovyo. Kwanza anapenda kujiona kama mtu special sana! Halafu ni mtu asiyeweza kuficha kabisa ushabiki wake kwa timu kama Coastal Union na Simba!

Sasa kila mtu anheamua kufanya kama anavyo fanya yeye, si mpira wetu ungeharibika kabisa.

Ana mengi sana ya kujifunza kwa Leodgar Chilla Tenga. Katika uongozi wake uliotukuka pale TFF, sijawahi kusikia hata siku moja tuhuma za kuipendelea timu, au kuwaumiza watu wa upande fulani.
 
Katika situation yoyote ile usicheke ulemavu wa mtu kumbuka huu ni mpira tu
Ila sope kumdhihaki Mwakalebela kumuita kilo 800 kutokana na maumbile yake mnaona sawa. Huyu hatumuachi ng'o mpaka na yeye ajifunze kuheshimu wengine. Mbona mazeruzeru wapo wengi tu kwanini Haji Manara tu?
 
Wanasheria wengi wa utopolo ni vilaza ndio maana waliwaaminisha Morison ana mkataba yanga wakatumia pesa kukata rufaa case matokeo yake wakashindwa na kulipa faini juu.
Hukumu yoyote ukiondoa chombo Cha mwisho kukata rufaa mhukumiwa ana haki ya kukata rufaa lakini anatakiwa kukata rufaa ndani ya muda uliowekwa, muda huo unaanza kuhesabika pale Alipewa nakala ya hukumu hivyo Hoja zako hazina mashiko
 
Kweli Yanga wapumbavu wengi sana, yaani zeruzeru afanye ujinga wake tena wa kujirudia rudia na anaamua kuiunganisha taasi kwenye upuuzi wake nao wanamuunga mkono.
Nilitegemea kuona neno amesha pewa hukumu
Manara kafanya ujinga ndio hatukatai Basi apewe hukumu ya huo ujinga wake
 
Haki ya kukata rufaa kupinga hukumu ni ya mshitakiwa (mhukumiwa).

Hatua hiyo ina taratibu zake, mojawapo ni kumpatia mhukumiwa nakala ya hukumu pamoja na mwenendo wa kesi

Haji Manara anadai kuwa ameomba mara kadhaa vitu hivyo bila mafanikio.

Kuna maswali mengi juu ya hili, machache yake ni haya.

1. Hukumu alipigwa nayo Haji siyo ya haki kiasi kwamba kamati ya nidhamu inaogopa itaaibika huko mbele?

2. Hukumu haikutolewa na kamati bali imetolewa kwa amri ya karia nk.

Mimi naamini Haji Manara amepewa nguvu ya kufanya aliyoyafanya juzi na. TFF kwa kumnyima nakala za kesi Haji manara.
Kisheria nakala ya hukumu hutoka baada ya siku 30
 
Kushabikia simba ni jambo jema ni kama vile mtu aliyefanikiwa kupata mwenza wa kufanana naye.

Tatizo la Yanga ni kutoheshimu taratibu na miongozo hata wanayojiwekea.

Haji Manara na Hassan Bumbuli nani msemaji rasmi wa klabu?
Majeneza fc anajiona ameuliza swali la msingi sana 😃😃😃
 
Ila yeye kukejeli maumbile ya wengine wewe unaona poa? Unakumbuka alikuwa anamuita Mwakalebela kilo 800? Hivi Haji Manara ndiye zeruzeru pekee katika nchi hii, mbona wengine hawakejeliwi? Ukiishi kwenye nyumba ya kioo usianze kuwarushia watu nawe.
Kwahiyo wewe ni mwakalebela au mkewe mwakalebela?
 
Ila sope kumdhihaki Mwakalebela kumuita kilo 800 kutokana na maumbile yake mnaona sawa. Huyu hatumuachi ng'o mpaka na yeye ajifunze kuheshimu wengine. Mbona mazeruzeru wapo wengi tu kwanini Haji Manara tu?
Hivi wewe ni mwakalebela au mke wa mwakalebela?
 
Wanasheria wengi wa utopolo ni vilaza ndio maana waliwaaminisha Morison ana mkataba yanga wakatumia pesa kukata rufaa case matokeo yake wakashindwa na kulipa faini juu.
Hukumu yoyote ukiondoa chombo Cha mwisho kukata rufaa mhukumiwa ana haki ya kukata rufaa lakini anatakiwa kukata rufaa ndani ya muda uliowekwa, muda huo unaanza kuhesabika pale Alipewa nakala ya hukumu hivyo Hoja zako hazina mashiko
Kama ndivyo mbona hamumpi ninyi tff hizo nakala za hukumu,mnaogopa nini?
 
Hivi iwapo Haji akiendelea na mambo yake itakuwaje, yaani mfano saa hizi wanaamuita Tena kwenye kamati Yao ya maadili na Hersi alafu wawape adhabu ikiwemo kumuongezea Haji adhabu ingine lakini aendelee tu na shughuli zake za Yanga asijali wala Nini kama fine halipi na kujihusisha na soka anaendelea watamfanya Nini.

Wataipa Yanga adhabu? Nao hawalipi wala hawahangaiki itakuwaje, wataitoa Yanga kwenye ligi na michuano mingine ya TFF? Wanaweza jeuri hii?

Nimewaza tu Kwa sauti
Haji ni muajiriwa wa Yanga,na tatizo lake limetokea akiwa Yanga,watakachofanya tff hapo ni kumuandikia barua ya onyo mwajiri wake ambae ni Yanga,so tatizo linabakia kwa mwajiri wake kumuambia mwajiriwa wake Haji Manara
 
Ila yeye kukejeli maumbile ya wengine wewe unaona poa? Unakumbuka alikuwa anamuita Mwakalebela kilo 800? Hivi Haji Manara ndiye zeruzeru pekee katika nchi hii, mbona wengine hawakejeliwi? Ukiishi kwenye nyumba ya kioo usianze kuwarushia watu nawe.
Wewe ndo Mwakalebela? Na mbona kipindi hicho hukumkosoa?
 
Sijawahi kuwa mpambe wa kiumbe chochote kile hapa duniani. Mimi ni mtu nisiyeweza kuvumilia uonevu.

Sijawahi kuzikubali kejeli na maneno ya kuudhi ya Haji Manara, lakini ni lazima ukweli usemwe! Adhabu aliyopewa ilijaa mihemko, ya kumkomoa, na ilitaka kutuaminisha kwamba Wallace Karia ni mtu mkubwa sana, hata kama na yeye anafanya makosa, hawezi kuadhibiwa! Kitu ambacho si sahihi hata kidogo.

Maana angekuwa ni mtu mwenye mamlaka makubwa kiasi hicho, asingepata muda wa kutupiana maneno na mtu kama Haji Manara kwenye mechi ambayo huyo Wallace Karia alikuwa akishangilia Coastal Union, huku Haji Manara akishangilia Yanga.
Kiongozi wa FA unaingia uwanjani na jezi ya timu mojawapo inayocheza fainali? Refa wa fainali ya uefa alibadilishwa kwa kitendo cha kukubali kupokea tu jezi ya Barca. Lakini Tanzania Rais wa FA anaingia kama shabiki na akikumbana na maneno ya kishabiki anafungua mashitaka.
Marehemu Shigela Nswima alikuwa mkuu wa mkoa wa Rukwa kipindi Fulani ukatokea msiba. Kuna Mzee mmoja mjaruo wakati wa mazishi kwa sababu ya utani akatangulia kaburini wamzike au apewe hela na wafiwa. Kuona hivyo RC akaamuru Polisi wamkamate kwa kuleta fujo mazishini na ndugu zetu hawana dogo akawekwa ndani. Nilichowashukuru ndugu wa marehemu, maiti haikuzikwa mpaka Mtani alipotolewa lockup na kupewa elfu 20 yake kipindi hicho.
 
Back
Top Bottom