Zao la mchikichi, dhahabu mpya shambani, mbegu ya kisasa na mazao mengi zaidi

Zao la mchikichi, dhahabu mpya shambani, mbegu ya kisasa na mazao mengi zaidi

Mkuu biashara ambayo hujui utamuuzia nani sifanyi.Watanzania wengi gawapendi kula mafuta ya mawese, wamelogwa na alizeti.
Serikali ikete wawekezaji sio kushawishi tu wakulima.
Wakulima wajifunze Ku process mawese kuwa bidhaa mbalimbali hapo haita wakata ila kama watasubiri wahindi waje wanunue itakula kwao.
Mawese yanagoa bidhaa nyingi sana, ika wakulima hawajui chochote.
Hivi kigoma hamna kiwanda kinachotumia mawese kama malighafi kwa ajili ya kutengeneza mafuta? Hii ingesaidia soko la mawese
 
IMG_5563.jpg
 
Bibi zetu walipanda chikichi hazikuwatoe je sisi zitatutoa kama mifumo ni ileile ya mabibi.Hata processing ni vivilevile.

Binafsi nilitaka kupanda chikichi kwetu kigoma,nikazama kusoma articles zinazohusu chikichi, nyumbani Tz hakuna tafiti zozote, nyingi nilizipata kutoka Asia, Singapore, Thailand, Vietnam nk.

Mambo makubwa niliyoyapata ni kwamba chikichi ni zao ka kiviwanda hata biofuel ni zao mojawapo, wenzetu kunaviwanda vinatumia mawese kuendesha mitambi yao.

Vyakula vingi ulaya wanavitengeneza na mawese. Nk, nk
Nilipochunguza hapa home nikagundua mawese yanatumika zaidi kwa sabuni na mafuta ya kula kidogo.Products nyingi za mawese zinatupwa kuanzia makanfi(lugha ya kigoma kambakamba baada ya kuchuja), maganda ya mise, chelewa,majani.

Bei ya mawese lita haizidi sh1500 kulinganisha na mafuta mengine.
Binafsi nilitupiliambali wazo la mawese nikaamua kununua mashamba ya kupanda Parachichi.

Parachichi unauza ghafi shambani chikichi una hudumia shamba, una vuna ngazi, unapeleka nyumbani,unavundika,unakamua unapeleka sokoni nk. Mkulima wa parachichi Alishasahau anasubiri mavuno ya pili were unahangaika .Chikichi kila siku upo shamba kuhudumia shamba.

Mambo ni mengi sana, mkigoma bora aanze kupanda korosho,ndizi,kahawa, parachichi,maharage,afuge samaki chikichi ziwe za mwisho.

Wanakigoma tusipochekecha akili tutaendelea kuwa masikini, wanasiasa wana ajenda zao nawe mkulima weka ajenda zako za kuutokomeza

umasikini.Kigoma ni mkoa wenye fursa nyingi Ila umedumaa hata wakazi wake hawana siha wala furaha ya maisha.Binafsi huwa naumia sana kuuona mkowa wetu ukiwa wa mwisho kimaendeleo.

Kupanga ni kuchagua, chxgua kuendelea kuwa masikini au kuutokomeza umasikini.Kamwe mwanasiasa hawezi kuutokomeza umasikini Bali ni were mwenyewe.Chagua zao la kukutoa ktk umasikini na so zao la kuwasaidia wanasiasa kudhibi mfumuko wa bei za mafuta.Kigoma muwe na akili za demand and supply,sio mtu anawaambia tu pandeni nanyi mnakulupuka bila kutafiti.

Siku mkiuza Lita sh 500 msije kumlaumu mtu, kigoma itainuliwa na watu wenye akili timamu.
Parachichi inakubali kigoma?
 
Mkuu biashara ambayo hujui utamuuzia nani sifanyi.Watanzania wengi gawapendi kula mafuta ya mawese, wamelogwa na alizeti.
Serikali ikete wawekezaji sio kushawishi tu wakulima.
Wakulima wajifunze Ku process mawese kuwa bidhaa mbalimbali hapo haita wakata ila kama watasubiri wahindi waje wanunue itakula kwao.
Mawese yanagoa bidhaa nyingi sana, ika wakulima hawajui chochote.
Na mwenye masikio akusikie mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa atakae hitaji miche ya chikichi karibu tukuhudumie.
Tupo SUA,Morogoro
mche 2000
0719527062/0757056472
 
Kwa kiasi kikubwa soko letu la ndani limeadhiliwa na masoko ya nje , ambapo wa Tz wengi wametengeneza mazoea ya kuazigiza na kuzidhamini bidhaa za nje not only kwa mchikichi , ni hata kwa mazao mengine pia
Nini kifanyike

[ To stabilize internal market ]
Kwanza Kama waTz tudhamini na kutumia bidhaa zetu
Pili serikali ilinde na kutoa ruzuku kwa bidhaa zetu na kuweka vikwazo kwa biddhaa ambazo tunazalishi , zisiagizwe kutoka njee
Tuongeoze dhamani ya bidhaa zetu

Tuanze kusaka masoko ya nje kwa bidhaa zetu wenyewe [ tukisha jitosheleza ]
Na pia kwa kuwa uhitaji wa mafuta Ni mkubwa nchini , nadhani mchikichi unaenda kuondoa tatzo la mafuta Tz

[ Tutegemee uzalishaji utakao pita kiasi kwa miaka 5 ijayo , na tujiandae kwa masoko ya nje , EAC , SADC , uerope na America ]
Nadhani kwa hapo taratibu taratibu tutatatua tatizo la masoko
Nadhani korosho kwa sasa[ mwaka huu ] hakujatokea tatzo bado , serikali ilijifunza vyema
Tatizo la masoko ya nje serikali nayo inasaidia kukwamisha kwa kiasi fulani special Air Port wanakuwa wasumbu sana sana matokeo yake Kenya ananunua bidhaa zetu na kujibandika jina lake Made in kenya kumbe ni bidhaa ya Tanzania .Suala hili serikali ichukue jitihada maalum ya kuwasaidia wananchi wanaoepeleka vitu vyetu nje ya nchi na sio east afrika tu
 
Hivi kwa dar ni wapi kuna kiwanda cha kutengemeza mafuta ya mawese au mashine ya kutengenezea mafuta ya mawese ni kiasi gani?
 
Back
Top Bottom