Zari afulia ,avaa BALENCIAGA FEKI Za elfu 10 ,10 Kkoo.

Zari afulia ,avaa BALENCIAGA FEKI Za elfu 10 ,10 Kkoo.

Ha ha ha ha ha Zarina Hassan anapata tabu sana ,sidhani hata hiyo a.k.a ya Zari The Bosslady kama anaitendea haki.

Hivi kweli mtu kama Bosslady unaweza ukavaa kiatu cha elfu 10????? Balenciaga zile OG kabisa zinauzwa kuanzia elfu 70 na kuendelea ingawa siku hizi zimeshuka bei mpaka elfu 50 unapata, lakini Zari kavuka mpaka kaamua kuvaa Balenciaga ya 10K [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ama kweli kufulia nako ni K.

Kwa ambao wameshawahi kuvaa Balenciaga watakubaliana na mimi kwamba Balenciaga za Zari ni feki.View attachment 928216
Ila Diamond alifaidi,ningepata mmam kama huyu ningemzalisha vitoto kadhaa pia
 
Hans umekurupuka angalia hapa
Usimfananishe zari na wengineo utaumia..umesema og elfu sabini ukiconvert 78- 95usd kibongo ni bei gani vile[emoji23][emoji23][emoji23]
Pia angalia viatu alivyovyaa kabla usd 950 ni sawa na sh ngapi za kitz vile?? Ni zaidi ya million mbili... So huyu dada humuwezi rudi kwa akina uwoya na wema
Screenshot_2018-11-10-07-16-00.jpeg
Screenshot_2018-11-10-07-14-31.jpeg
Screenshot_2018-11-10-07-09-12.jpeg
 
Ha ha ha ha ha Zarina Hassan anapata tabu sana ,sidhani hata hiyo a.k.a ya Zari The Bosslady kama anaitendea haki.

Hivi kweli mtu kama Bosslady unaweza ukavaa kiatu cha elfu 10????? Balenciaga zile OG kabisa zinauzwa kuanzia elfu 70 na kuendelea ingawa siku hizi zimeshuka bei mpaka elfu 50 unapata, lakini Zari kavuka mpaka kaamua kuvaa Balenciaga ya 10K [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ama kweli kufulia nako ni K.

Kwa ambao wameshawahi kuvaa Balenciaga watakubaliana na mimi kwamba Balenciaga za Zari ni feki.View attachment 928216
We jamaa bila shaka ni shoga.Mwanaume unajadili umbea kama mwanamke??duuuh.Nikigundua wewe ni kaka yangu nakuchinja shingo siku hiyohiyo ukafie mbali ili kuepuka laana.Kweli wanaume wanazidi kupotea duniani.Nina uhakika 100% huna marindaBwabwa wewe.
 
Hans umekurupuka angalia hapa
Usimfananishe zari na wengineo utaumia..umesema og elfu sabini ukiconvert 78- 95usd kibongo ni bei gani vile[emoji23][emoji23][emoji23]
Pia angalia viatu alivyovyaa kabla usd 950 ni sawa na sh ngapi za kitz vile?? Ni zaidi ya million mbili... So huyu dada humuwezi rudi kwa akina uwoya na wemaView attachment 928342View attachment 928343View attachment 928344
Mleta mada amekurupuka, Zari amelipwa zaidi ya milioni 80 kwa ajili ya kutangaza na kuwa balozi wa utalii Uganda alarm avae viatu feki
 
Hii tabia ya wanaume kufatilia hadi aina ya viatu vya mademu inatoka wap??
Ndicho kinachotokea kwa mwanaume wa leo.Kuna mengi ya kujadili kama mwanaume ila sio ufala kama wa huyu mtoa post.KWENYE NCHI YA WANAUME HUYU TUNGESHAMPIGA SHABA YA KICHWA,NA MWILI TUNGEWAPA SAMAKI WALE.
 
Hans umekurupuka angalia hapa
Usimfananishe zari na wengineo utaumia..umesema og elfu sabini ukiconvert 78- 95usd kibongo ni bei gani vile[emoji23][emoji23][emoji23]
Pia angalia viatu alivyovyaa kabla usd 950 ni sawa na sh ngapi za kitz vile?? Ni zaidi ya million mbili... So huyu dada humuwezi rudi kwa akina uwoya na wemaView attachment 928342View attachment 928343View attachment 928344
Nimeshangaa alivosema 70000 si hata Mimi kapuku ningedunduliza nikawa navyo!!
 
Ndicho kinachotokea kwa mwanaume wa leo.Kuna mengi ya kujadili kama mwanaume ila sio ufala kama wa huyu mtoa post.KWENYE NCHI YA WANAUME HUYU TUNGESHAMPIGA SHABA YA KICHWA,NA MWILI TUNGEWAPA SAMAKI WALE.
Halafu kuna mademu humu wanaanzisha hadi Uzi kumtetea na yeye tako linavimba hiloooo anaona yupo sawa tu,ndio ni celebrities forums ila sasa tuangalie na ya kuongelea kutokana na jinsia zetu,jambo kama hili sio la kujadiliwa na mwanaume kabisa yaani..
 
Utakuta mleta mada ana mwili kama hiyo njemba hapo.
 
Back
Top Bottom