Zari aipeleka familia yake Dubai kula bata, gharama ya hoteli waliyofikia ni balaa

Kwa kweli Diamond alikuwa hajitendei haki !!!
huyu mama ni mzee,alitaka amfungie kijana
ale kitu kimesoma kilometa nyingi hadi kimekomaa
ushahidi ni hao watoto.
 
Yaani kwenda Dubai ni habari?
 
Cha ajabu unaweza shangaa huyo alieropoka hapo hana hata mtoto wa kusingiziwa. Hlf mtoto wa kwanza wa Zari ana 15 yrs km sijakosea
 
Duh hiyo ndio mitoto yake?!
Kweli huyu mama hana haya.
Kaumbuka kwa mtoto wa Tandale
Huwa sielewi watu wakiongelea umri was Zari. Chibu ni muislamu na kwa waislamu kuoa mwanmake aliyekupita umri ni sunna. Bibi wa kwanza wa Mtume Muhammad saw, alimpita na miaka 15. Ndoa ikadumu kwa miaka 25 na alikuwa mke peke. Age is an issue of mind over matter, if you dont mind, it dont matter
 
Bibi wa mwisho alikuwa na miaka tisa
 
Lazima Zari anakufikisha wewe is Kwao mapenzi haya
 
WaBongo bana, Ishu zakawida tu wao wanaona ishu. Sasa kwenda Dubai kutumbua cha aajabu kipi?

Weye mwenyewe ukiamua kujipigapiga unafika.
 
Najiandaa kwenda Tripoli kwa mapumziko ya siku 6.
 
Lazima Zari anakufikisha wewe is Kwao mapenzi haya

Duh aiseeee
Utakuwa uneandika kutokana na mazoea.. tena wafanya kazi za usiku wana mchezo huo sana sana inajulikana baadae wanarudi kwa mabwana zao.. huwezi kuandika hauo kama huyajui.. kumbe ndivyo aiseeeeee.. halafu mnakuwq wasiri sana sana hata mabwana zenu hawawezi kuotea hayo.. ha ha haaaaaa... JF kweli burudani.. lingine?
 

Mwacheni mlimbwende afaidi matunda ya jitihada zake.

Mama ametulia sana huyu.
 
Ila Diamond kuachana na huyu shangingi ni sawa na kuokota dodo chini ya mnazi; kwa hapa alikua ameingia choo cha kike mbaya sana wanawake wa kiganda sio kabisa. Hongera sana chibu umeutua mzigo mkubwa sana kwa hili shangingi.. muhimu lea watoto wako basi, na atulie sasa aoe wa umri wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…