Zari alijishusha sana kutoka na Diamond

Zari alijishusha sana kutoka na Diamond

hata kama ni chini ya mti, dai alimpata kipindi wamezinguana na ivan
Huyu demu baada ya kuachana na Ivan hakwenda kudate na diamond alienda date na mganda mwenzake sijui mcheza kikapui sijui anafanya nini ni jamaa flani hivi mrefu kweli na ndiye aliachiaga zile video za uchi kipindi yuko na diamond na walidate kwa zaidi ya miezi tisa kwa hiyo huwezi sema alikuwa na stress za Ivan
 
Kijana wenu anashoboka,cheki birthday anaenda kulia south badala yeye ndo afatwe madale
Mbele za watu yupo nimemuacha usiku anakumbukia sana unajua alifuata nini kwa mutoto wetu unajua bhana so bado anahangaika tu kuipata tena japo kidogo.
 
Alipwe nini zaidi ya kujipendekeza,pyeeep hafatwi mtu ofisin na keki too cheap
Tumeishi na kina zari wengi so tunawajua kama hampendi tungejua tu .
kwanza wanatuchora sisi tunahangaika hapa wao wanapata hela na maisha yao.
sisi tunajipotezea muda kuhusu wao sasa zari dai watanisaidia nini ? Hawanijui hata kama katoto kazuri ana exist.
 
Kama ni hivyo basi tunza hayo mapovu,poleeeee
Tumeishi na kina zari wengi so tunawajua kama hampendi tungejua tu .
kwanza wanatuchora sisi tunahangaika hapa wao wanapata hela na maisha yao.
sisi tunajipotezea muda kuhusu wao sasa zari dai watanisaidia nini ? Hawanijui hata kama katoto kazuri ana exist.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]poovu pole mgeni wa mitandao eeenheeee endelea kuvimbisha mishipa
Dah uko serious na zari wewe ni ndugu yake ?
Anakujuaga???? Unahasira kama wewe ni dada yake wewe ni nani yake?
Au unajishaua tu?
 
HUYU DADA ALIJISHUSHA SANA KUTOKA NA DIAMONDView attachment 833745View attachment 833746
Kwa akili zenu fupifupi wabongo mnatekenyana na kucheka wenyewe...Hiv nani kakwambia mwanamke anajishusha kwa mwanaume??

Acheni dharau nyie huyo mama Ana uspecial gani haswa wakuonekana anajishusha kwa mondi?
Acheni ujinga nyie Zari hamna kitu pale Ni mama flani anejaribu kujipaisha juu wakat uhalisia anaujua kuwa muda wake umeshapita.
 
amerudi kwenye level zake
Umetumia vigezo gani kwa kauli yako?kabla hajawa na mondi alikuwaje?pindi yupo na mond alikuwaje?na hivi sasa baada yakuachana na mondi yupoje!??

Nijibu ili nikutofautishe kat yako na wale mataahira Wa kule instagram.
 
Akili zimemrudia sasa, zipu mbovu anazidi kunyorodoka ivan angekua mzima game lingekua tamu, domo uroho wa k bila ndom umemponza chezea wadada wa uswazi full kutegesha ili wapate vya dezo child support.....hope sperm donner domo kajifunza.
Je mond ananyorodoka kivp labda maana me namuona kama mbabe wa vita coz katotolesha na alelewa watt ambao ndio hitaji lake kuu. Kama ni K anazipata ana kwa level zake anauwezo wakupata K atakayo.Tatzo lenu madem wa bongo akili zenu zimeishia kwenye K zenu kwamba ndio kila kitu wakati watu makini wanaziona kama kiburudisho tu ambacho kunapatikana kwa urahisi mnoo .Mondi hitaji lake lilikuwa ni mtoto/watoto sio ****.
 
come on guys... amefaidika sana, cha kwanza amepata followers wengi zaidi africa sababu ya Diamond, pia hata connections zimeongezeka.

Hata dimond ametanua wigo wa umaruufu Uganda, hakuna aliyejishusha it was a win-win
 
Back
Top Bottom