The guy is earing the whole world at the price of losing his own soul.Mwanamama mrembo na mjasiliamali Zari the Bosslady aliyezaa watoto 2 na Diamond Platnumz amemlipua mzazi huyo mwenzie baada ya kutangaza kulipia makazi kata 500 wakati hajua watoto wake wamekula Nini wala wamelala vipi.
Zari anamwambia Diamond huwezi furahisha dunia wakati wakwako hawana furaha na wewe wala kuwajali.
View attachment 1430809
Sent using Jamii Forums mobile app
Unachoshindwa kuelewa malezi sio ya Zari ni ya watoto. Bonding inayotakiwa hapo ni ya diamond na watoto wake.Amue hajakatazwa,kama aliweza kuwapeleka watoto kanisani na kuwa badilisha uraia,nisingeshangaa akiwabadilisha dini.
Yeye kama amefanya maamuzi haya manake hamwitaji mme wake sababu kulea ni kushirikishana kila hatua.
Unachoshindwa kuelewa malezi sio ya Zari ni ya watoto. Bonding inayotakiwa hapo ni ya diamond na watoto wake.
Kuwa nao karibu , kuwasikiliza , kucheza nao kujua watoto wake wanapenda Nini wakiwa wanaumwa wanakuwaje hivo vitu havina mbadala. Tatizo unadhani malezi ni pesa peke yake. Mtoto hajui thamani ya pesa anachohitaji ni "Bonding" na baba ana feel uwepo wa baba.
Nyie ndo wale mnadhani ukituma hela Mpesa au tigo pesa ndo umelea watoto wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado hujajua maana ya "Bonding"Wajibu wake endapo akishirishwa kwenye maamuzi ya watoto.
Sasa unajua malezi ni bond ya baba na mama mbona kwenye mamuzi mengi,aihusishi hiyo bond manake bond ni umoja ambao ndani yake unapata ushirikiano.
Mwanaume hata kama hana hela anahitaji kushirikishwa kwenye maamuzi yoyote yale either yawe makubwa au madogo na ndio maana ya bond,ukifanya maamuzi peke yako hapo ushavunja bond.
Criss brown kishamalizana na mke wake mwanzoni kabisa baada ya kutaka kumpiga hela na Criss brown kesi alishinda na Criss brown hakukataa kulea,bali alikataa kutoa hela ambayo mwanamke aliyokuwa akiitaka.Bado hujajua maana ya "Bonding"
Nimekwambia bonding inayotakiwa kwenye malezi nia ya mtoto na baba hata kama baba na mama hawaelewani.
Chriss Bown na baby mama wake wanapelekana mahakama kila mara lakini ukaribu na mwanae Royalty ni zaidi ya bonding
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa wengi huwa wanadhani wamama wanapandikiza maneno kwa watoto kumbe wao wenyewe ni tatizo wakituma hela basi wanajua wamemaliza matokeo yake kutokuwa hakuna connection kati ya baba na mtotoHalafu baadae wanasingizia mama kapandikiza maneno uchukiwe. Kumbe watoto walikua hawakuoni
Mifano iko mingi Wizkid , Davido wote mama watoto zao wanazinguana nao lakini ukaribu na watoto wao uko pale paleCriss brown kishamalizana na mke wake mwanzoni kabisa baada ya kutaka kumpiga hela na Criss brown kesi alishinda na Criss brown hakukataa kulea,bali alikataa kutoa hela ambayo mwanamke aliyokuwa akiitaka.
Ila mke wa Cris Brown hajambadilisha uraia wala iman,kesi mbili tofauti.
Alafu Royalty analelewa na bibi yake,mama mzazi wa Criss Brown.
Bond ni umoja ambao ndani yake kuna kushirikishana,unasema baba awe na bond na watoto lkn maamuzi anafanya mama sasa hapo kuna bond.
Kwani baby mama wa Wizkid au Davido kishawahi kufanya aliyoyafanya Zari,kama kuwabadilisha uraia na kuwapeleka katika nyumba za iman ambazo tofauti na baba zao,manake hapa tunazungumzia kesi mbili tofauti.Mifano iko mingi Wizkid , Davido wote mama watoto zao wanazinguana nao lakini ukaribu na watoto wao uko pale pale
Juzi kati Davido aliamua kuvunja ratiba zake ampeleke mwenyewe mwanae shule akamuendesha mwenyewe hivi ndo vitu watoto wanapenda na kuitaji hapo hata mama aseme vipi mtoto hawez mchukia baba maana anauona upendo na kujaliwa moja kwa moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hatunzi mtoto kwa sababu hiyo then dayamondi is dumb as a donut maana hiyo haimbadilishi mtoto kwa chochote kile.
We see the world differently, I can careless about uraia, dini, mila etc mbele ya wanangu. Siwezi kuacha kumtunza mwanangu kwa sababu iwayo yeyote ile labda nifariki.
Hoja dhaifu sana kama Diamond angeamua kuwa karibu na watoto angekuwa nao karibu bila kujalisha Zari anataka hau ataki
Sheria zipo zinamlinda Diamond kama baba ndo naama nasema aliamua tu kuwa mbali na watoto wake
Unazungumzia hoja ya dini na uraia ?yaani wewe na akili yako timamu unashindwa kuona damu yako kisa watoto wameenda kanisani ? Seriously?
Kuna watu wamezaa na watoto wa kichaga ukoo mzima hawamtaki hata kumuona lakini anapambana analea mtoto wake .
Unahalalisha vitu na hoja dhaifu sana
Diamond akiamua kuwa karibu na watoto wake hakuna kiumbe kinaweza kumzuia awe Zari na ukoo wake wote
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuzinguana wana zinguana (mkatukanana,mkapigana,mkanuniana sawa) lakini si mpaka kufikia hatua ya kubadilisha uraia wa mtoto wa kupelekana kwenye nyumba za ibada ambazo tofauti na baba yao.Mifano iko mingi Wizkid , Davido wote mama watoto zao wanazinguana nao lakini ukaribu na watoto wao uko pale pale
Juzi kati Davido aliamua kuvunja ratiba zake ampeleke mwenyewe mwanae shule akamuendesha mwenyewe hivi ndo vitu watoto wanapenda na kuitaji hapo hata mama aseme vipi mtoto hawez mchukia baba maana anauona upendo na kujaliwa moja kwa moja
Sent using Jamii Forums mobile app
braza unajaza maji kwenye tenga,utakesha hapo.hawa jamaa ni viazi si kawaidaAlafu kulea sio msaada kusema mwanamke asipofanya ninavyotaka naacha ule ni wajibu wake haijalishi wana maelewano gani yupo mama watoto wake.
Kumbuka malezi sio ya mama ni ya watoto bonding ni ya baba na watoto.
Hakuna Excuse
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa bumunda lilooza, mm ntafikisha kwa boss wangu lkn na ww fikisha kwa boss wako wa kike kuwa mwanume haletewi jeuriZari sio mjinga wewe BUMUNDA ,Boss wenu DOMO hatoi pesa ya matumizi kisa eti zari ana fedha,mwambie Boss wenu kabla ya kulipia watu kodi awalipie watoto wake bima ya afya!! Hata kama zari ni tajiri watoto wanalelewa na baba na mama asimwachie majukumu yote zari.
Atulie sasa anamshtakia nani?Si anawaleya bila msada wake ?? Na yeye mbona bado alikuwa analaumu babaake mzazi wakati nayeye ni shetani zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya sasa kawaruka nyie wapambeKweli kwako unaweza ukaona hamna sababu ya msingi,ila yule demu ana kiburi za fedha,kwake anaona fedha ndio kila kitu.
Hivi wewe kweli kama mwanaume,unaweza ukakubali ,ukakubali mtoto wako abadilishwe uraia? Yote tisa kumi unawapeleka Kanisani,manake swala kama la imani swala jingine kabisa,kama Mondi angekuwa mtu wa swala tano hii kesi kubwa,sometimes inaweza hata ukasababisha kupotea kwa uhai wa mtu.
Siku zote mwanaume anahitaji kusikilizwa na kuheshimiwa ila kama mwanamke akikuzidi kipato ni ngumu sana kukusikiliza,wachache sana ambao wana hofu ya Mungu wanaweza wakamsikiliza mwanaume ambaye amemzidi kipato.
Zari na Mondi wanaonyeshana,Zari tokea mwanzo anamwonyesha Mondi sio kitu anaweza somesha na kuwapatia mahitaji yote muhimu bila Mondi ndio maana kaamua,kumbadilisha uraia na kuwapeleka kanisani.
Mondi nae kaona kazarauliwa ,watoto baki ukitaka huduma yangu basi lazima wafuate vile nitakavyo mimi.
Na ndio maana mahusiano kama haya mnapoteza mda mwingi kwenye mashindano,baada ya kulea watoto.Hapo kila mtu inabidi asimame kwenye nafasi ya asili.
Zari ana kiburi sanahalafu jeuri sijui kwa sababu Ivan alimwachia vipesa.Anajeuri gani lkn.......mnapata wapi ujasiri wa kumtetea domo?
Sio vipesa ni mapesa hat domokaya analijua Hilo, huon ana muogopa mnooh zarinaaahZari ana kiburi sanahalafu jeuri sijui kwa sababu Ivan alimwachia vipesa.