Zari amlipua Diamond kwamba hatoi hela ya matunzo ya watoto wake baada ya kutangaza kulipa kodi za kaya 500

Zari amlipua Diamond kwamba hatoi hela ya matunzo ya watoto wake baada ya kutangaza kulipa kodi za kaya 500

Zari ana kiburi sanahalafu jeuri sijui kwa sababu Ivan alimwachia vipesa.
Amna bana kijana wetu domo anashida sn labda ndio masharti ya kazi yake.....lkn yeye ndio mwenye shida
 
Mtoto under 18yrs of age anaweza kuwa na uraia pacha na anaweza kusafiria passport ya Tanzania au ya nchi nyingine.

Kama Tiffah ana uraia wa SA hakumfanyi asiwe raia wa TZ na bado anaweza kutumia passport ya TZ.

Watanganyika muwe mnajiongeza kabla ya kudandia mambo. Smdh
Thibitisha maelezo yako kwa mujibu wa sheria za Tanzania na katiba pia
 
Back
Top Bottom