Amna bana kijana wetu domo anashida sn labda ndio masharti ya kazi yake.....lkn yeye ndio mwenye shidaZari ana kiburi sanahalafu jeuri sijui kwa sababu Ivan alimwachia vipesa.
Nanikakwambia anamuogopa?Sio vipesa ni mapesa hat domokaya analijua Hilo, huon ana muogopa mnooh zarinaaah
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah we jamaa ni mnafiki mara kwanza ulisema "mambo haya mimi sifuatiliagi"
Thibitisha maelezo yako kwa mujibu wa sheria za Tanzania na katiba piaMtoto under 18yrs of age anaweza kuwa na uraia pacha na anaweza kusafiria passport ya Tanzania au ya nchi nyingine.
Kama Tiffah ana uraia wa SA hakumfanyi asiwe raia wa TZ na bado anaweza kutumia passport ya TZ.
Watanganyika muwe mnajiongeza kabla ya kudandia mambo. Smdh
Thibitisha maelezo yako kwa mujibu wa sheria za Tanzania na katiba pia
Unawashwa weweUsipende kutafuniwa kila kitu. Ushapewa muongozo jitafutie, uliza uhamiaji.
Hat yey domokaya ana fahamu vzur kuwa anamuogpa zarinaaah, sas we unabisha nnNanikakwambia anamuogopa?
Anamfuatilia Diamond kumbeUyo zari mwache aendelee kula jeuri yake.
Wewe tutajie fanikio lako moja tu