Zari ampime Diamond magonjwa kabla hajarudiana nae

Nakushauri na wewe ukapime akili yako.

Usipoona chizi mtaani kwako basi ujuwe wewe ndio chizi mwenyewe.
 
Mbona kama mambo mengine ni binafsi sana?
 
Mkuu macho yako yanapima ukimwi? Huko kwa mastaa kunatisha mana chain iliyopo huko ni balaa ni io misosi tu na ku have fun muda mwingi ndio maana huoni Wakiyumba, ukimwi upo kwa masikini
 
Mleta mada usione watu wanatembea tu na kucheka kana kwamba wana raha, wengi wao ni midege ya jeshi na hawajali lijalo.
 
Uu uzi uu sijauulewa kwanini usianze na wanaokuzunguka kwanza
 
Zari hawezi kurudiana naye na akirudi atakuwa zombie kiwango cha lami
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…