Ahahahah uwiii ,soon binam tutakuwa tunapitilizwa kwenye daladala wote kwa umbeyaSijui hata unasubir nn kuhamia, achana na msukuma njoo dar uishi na lemutuz downtown uwe unamsaidia ku type maana mkewe mange yupo ulaya
Wamefanyana nini hao?Warumi habar ya mjini for now ni bifu la king of all social media na Mange.. Mengine haya ni ma gossip ambayo ni kama ya kutunga tunga hivi.. Yamejificha ficha not open to the audience
Tifa ajiandae kupata mdogo ake mwenye rangi ya kiwiAhhaahahhaha mna manenoo
Hehehe ila Baraka anaonekana atakuwa wa moto sana si kwa weusi huo,Tifa ajiandae kupata mdogo ake mwenye rangi ya kiwi
Zari kaacha mume tajir mwenye pesa na kila kitu kaenda kwa diamond, diamond akimuacha zari ndo basi tena
Huo moto wake utakua wa incubator atotoleshee tu mayai, hapana sio kwa weusi uleHehehe ila Baraka anaonekana atakuwa wa moto sana si kwa weusi huo,
Ilioneshwq picha ya tifah akiwa hajaeditiwa si mweupe vile
Ivan bado anampenda zari weweUna uhakika yeye ndo alimuacha mume tajiri au yeye ndo aliachwa??? Zari ni hooker na ni gold digger, mwanamke mwenye watoto watatu anaejiheshimu hawezi tembea na kakijana kaa 25 kwa muda usiozidi miezi sita akakavulia pichu na kufanywa bila hata condom hadi uja uzito.Hizo ni characters za ma hooker waliobobea, au ndo alikua anatafuta pesa huku na kule? napita tuu.
uliza uambiwe kama zari kaachwa na talakaUna uhakika yeye ndo alimuacha mume tajiri au yeye ndo aliachwa??? Zari ni hooker na ni gold digger, mwanamke mwenye watoto watatu anaejiheshimu hawezi tembea na kakijana kaa 25 kwa muda usiozidi miezi sita akakavulia pichu na kufanywa bila hata condom hadi uja uzito.Hizo ni characters za ma hooker waliobobea, au ndo alikua anatafuta pesa huku na kule? napita tuu.
uliza uambiwe kama zari kaachwa na talaka
pesa pesa pesa... ndugu yangu... huyo kijana mwenzake atamsaidia nini?Exactly, hilo ni dongo limetupwa gizani upande wa pili. Hii movie mwisho wake mtamu. Yote kwa yote hakuna mama yeyote duniani anaefurahia mtoto wake wa kiume mdogo akaenda kuoa jimama lenye watoto watatu, na kumfurahia ni mkwe.Wa mama wengi hufurahia kijana wake akifungua chungu kikiwa kipya yeye akiwa ndo alifu atii.Napita tu.
Shikamoo warumiuliza uambiwe kama zari kaachwa na talaka
Lile timbwili la madale bado linaendelea kuwaka moto , hivi karibuni mzazi mwenzie na diamond, zari amepost picha akiwa na mama yake mzazi huku akimwagia sifa kem kem kuwa mama yake huyo ana tabia nzuri ,ana hekima na kumfananisha na queen ,kitendo hicho kimetafsiriwa na wapenda ubuyu mjini kuwa zari alimrushia dongo mama wa mzazi mwenzie diamond ambaye amekua na sifa ya kuwa mkorofi,mshari na asiyependa amani na mkwe wake huyo mtarajiwa
Hivi wewe una umri gani halafu mbabaikaji mbayaSijui hata unasubir nn kuhamia, achana na msukuma njoo dar uishi na lemutuz downtown uwe unamsaidia ku type maana mkewe mange yupo ulaya
Umejitahidi Matt Bomer wa uwanja wa fisi.Wewe malaya mbwa achana na mimi mbuzi kibudu wewe, hii number nyingine usijaribu hata kubeep mfyuuu