Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Ha haa Mange mwehu.. Ingekuwa mimi ndio le mutuz bingepiga tu kimya.. mange ukinyamaza anakuheshim na badae anaweza hata kukuomba msamaha..Hahahaaaa.. Aisee hii vita lemutuz aachane nayo...hii ligi haiwezi...
Sio kwa zile knockout
Heheheee.. Mange mwehu tuu... Lakini yale mapigo lemutuz hawezi kuyajibu miaka 100.. Bora akae kimya na Le fiance wake mambo yaende...Ha haa Mange mwehu.. Ingekuwa mimi ndio le mutuz bingepiga tu kimya.. mange ukinyamaza anakuheshim na badae anaweza hata kukuomba msamaha..
Mange kamchokoza sana Zari na Z hajajibu choxhote mpaka Mange kachoka mwenyewe
hii post ya Zari kumsifia mama yake ni nzuri sana ila haikutakiwa iwekwe kipindi hiki ambacho ana timbwili na mama Diamond.Just thinking loud......
Kabisa pale unapotanguliza feelings za kiushabiki bila kuangalia impact yake mbeleni .Na ninauhakika hiki kitu kinamtesa sana Diamond saicological hajijui asimamie wapiiUsemi wako ni sahihi kabisa na wenye busara, Kwa mwenye hekima
Ila sasa zari kama celebrity watu wake watataka kujua ana react vipi
Kwenye hilo timbwili.
Sometimes pear pressure can influence suchthing.
Na ukiona ma mkwe anamkuwadia mme kwa watoto wa mjini na kumdharau mkeo maana ake niniUkiona mwanamke au mke wako ameanza kukutukania mama yako mzazi directly or indirectly ujue anakudharau au amekudharau!! Ndomo inabidi ajifikirie sana kwa huyu mzazi mwenza!
Suluhisho mama chibu apate bwana tena kaserengeti katakako mkeep busy huku kakimchatisha wosapu muda wote ni mvua ya msg baby umekula, baby umelala, baby umevaa nini..... Atapunguza kujihusisha na mapenzi ya mwanaeWalikuwa wapi mpaka akawazalia kama walijua bi mzee?? Alafu mama dai kutwa kumpost mtoto wa esma na kumtenga wa zari, hapa analenga kumuumiza nani?zari au dai , bureeee kabisa
haa na sijui kwanini anajiita Kendra MichaelKwanza utu uzima ule na maistagram wap na wap, akae atulie kama wanawake wengine walivyotulia
Macho yako hayo mm!!hahaha yetu macho binamu
Huwezi kumkataa mjukuu wewe, labda uwe kichaa.Kwanini akumkataa alivyoletwa kwake mara ya kwanza? kwanini alifurahi alivyomletea mjukuu? Vtu vingne shirikisha akili yako.
Chzeiya wamama wa mwendo kasi, Sandra ajiita kendrahaa na sijui kwanini anajiita Kendra Michael
wewe nini kondaMacho yako hayo mm!!
Aina ushemeji tunakulaaa....ainaga ubinamu tunakulaaaga!hahaha yetu macho binamu
Wakusikilize Mkuu .....unatumia kinywaji gani???Exactly, hilo ni dongo limetupwa gizani upande wa pili. Hii movie mwisho wake mtamu. Yote kwa yote hakuna mama yeyote duniani anaefurahia mtoto wake wa kiume mdogo akaenda kuoa jimama lenye watoto watatu, na kumfurahia ni mkwe.Wa mama wengi hufurahia kijana wake akifungua chungu kikiwa kipya yeye akiwa ndo alifu atii.Napita tu.