Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Ha ha ha ha ha ha haWatu bana wanajipa majina mazuuri ya bandia, majina yao halisi yakitajwa sasa??? Unakoma mwenyewe,
Mwanaasha, mwamvua, mwanahamisi, mwajuma.. acha nipite
Usichanganye Queen Darleen na drama za Esma na mama Chibu... Queen Darleen hajawahi kuwa na matatizo na Zari... na kama anayo basi yapo moyoni mwake!Zari ameonesha hana kinyongo hata kidogo kwa wifi yake queen darleen ingawa pale mwanzoni queen darleen alimlia bati Zari kwa kugoma kumtakia heri ya kuzaliwa wifi yake huyo na kuongea mbovu mbovu juu yake lakini kwa upande wa huyu mwanamama kutokea Uganda ameonesha upendo wa hali ya juu kwa wifi yake huyo
Esma ana uzuri gani yule ,sura kama sori ya kiatu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo Queen Darleen hajawahi kumchunia Zari ....ansyemchunia Zari ni Esma yule mzuri kama mkorea
Anhaa kumbe ,kumbe hawa wapo poa kabisa ?Usichanganye Queen Darleen na drama za Esma na mama Chibu... Queen Darleen hajawahi kuwa na matatizo na Zari... na kama anayo basi yapo moyoni mwake!
Hawana problem... tatizo au drama dhidi ya Zari zipo upande wa Mama ambao Queen Darleen haumuhusu!! Hilo la Zanzibar si unawajua Wabongo!? Likitokea jambo hawana muda wa kujiuliza kwanini... hapo hapo wanatoa jibu lao!!!Anhaa kumbe ,kumbe hawa wapo poa kabisa ?
Watu walichonga sana queen darln alivyoachwa safari ya Zenji badala yake akachukuliwa aunt ezekiel
Nivue _chupi_baby[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]!!Daah!watu wanavisa sana jamani nimecheekaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaha mkuuu kama ulikuwa mawazoni kwangu yaani majina ya insta ni noma.....eti. Nivue chupi baby bwahahaha
Hili jina lake ni baya kweli,hebu lisome hapa .......??Watu bana wanajipa majina mazuuri ya bandia, majina yao halisi yakitajwa sasa??? Unakoma mwenyewe,
Mwanaasha, mwamvua, mwanahamisi, mwajuma.. acha nipite
Au nyomi banxx[emoji16][emoji16]Sjui kwa nini namfananisha sana Zari na Lisa Ann
Wewe jamaaa porn zimekuaribuSjui kwa nini namfananisha sana Zari na Lisa Ann
queen na zee wako ok tuHuyo Queen Darleen hajawahi kumchunia Zari ....ansyemchunia Zari ni Esma yule mzuri kama mkorea