Zari amuumbua Hamisa Mobeto, aanika Live uchafu wake na Diamond

Afu unaweza kuta pia wifi na mama mkwe hata hawahusiki. Ukitombi wa Dai tu, kule kwa Huddah mama ake ndo alimpeleka pia? Yeye mwenyewe public pizza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Dai yule umalaya ni hulka yake!

Haachi Leo wala kesho!

Ila Zari mvumilivu!
 
Kamuumbua au kajiumbua mwenywe maana kutwa alikua anajiona Queen bey !!! Chezea chibu wewe halafu huyo Zari alivyo mjinga anaacha kudeal na Mond anadeal na michepuko.... kama namuona Wema huko alipo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inataka moyo wa chuma kwakwel. Mtu unaweza ukaroga isisimame kny K nyingine [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hyo mbona IPO nenda Sumbawanga na kuna ile ya mke akitaka kuchepuka Jamaa dudu lake linasinyaaa NDOA Nomaaa
 
Zari yupo kwenye frustration saaana, yaan paka ameshindwa kuji handle na vile mjamzito sasa....

Hapo ndipo tatizo lilipo....ifikie hatua akubali tuu ukweli kwamba simba sio mwanaume wake peke yake.
Kuna mipaka shumekibao inalala ikomba zari aachwe, wachukue nafasi...
 
We all know nothing...walengwa ndio wanajua..hamisa ..dai ..na zari..
Alafu wengine wanasema nikiki ya wimbo mpya lakini wimbo already uko mtaani kwote kila ukipita hadi uchochoroni. The problem is Dai himself. Simlaum zari lazima apanik kama kipindi kile yeye alikua anaingia wema anatoka wema alipanic sana. So the reverse is true
 
Mi kwakweli na deal na mume...hao vichechede watahdithiwa tu na huyo bwana yao kilichomkuta...mana mume anajua ana mke why atoke...
Kwa kweli angebaki tu kwake atulie alee mimba yake salama, atarushiana maneno na wangapi?. Na michepuko ikiamua kumjibu si atadondoka kwa presha. Juzi tu kala kichambo kwa huddah, asije pata presha bure
 
Yeah zari alitakiwa asishindane na mama especially mpk mtandaoni alitakiwa amdharau na apige kimya....ampe heshima ht ya kinafiki...sometym ukijifanya mjinga sio vibaya
Yn mimi ningekua huyu zari...vituko vyote hivi..nimgesepa na watoto wangu asiwaone mileleeee....wakikua nao waje wamnyanyase baba yao km nae anavyonlipizia baba yake mabaya...
 
Inataka moyo wa chuma kwakwel. Mtu unaweza ukaroga isisimame kny K nyingine [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
AAA wapi ya nini kuroga dear?! bure isisimame milele ndio inauma sana ku ku share ila unakuwa ukimuongelesha kwa upole tu abadile na kupiga goti kwa Mungu ili ambadilishe, ila ukianza kuwaweka hadharani wezi wako, au kudai talaka mbona utaumia zaidi maana hakuna perfect kabisa kila mwanaume ana yake, ila kuna kipindi anachoka tu, ukianza talaka utakuwa kama Dida shaibu kila siku ndoa yeye talaka yeye.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Dai yule umalaya ni hulka yake!

Haachi Leo wala kesho!

Ila Zari mvumilivu!
Hahahaha umalaya hulka, ila kuna forced conditions pia....sometimes hatujui dai anachangamoto zipi zinamfanya aruke ruke

Ingawa anafanya upunguwan (in heaven sent's voice
 
Me siwalaumu hao mapaka shume, watu wanatembea na waume za watu, itakuwa baby daddy wa mtu. Mbaya wa zari ni Dai period. Watu wanaona fursa kwa Dai, na aombe tu hiyo michepuko isije ikabeba mimba na yenyewe
 
Kwa kweli angebaki tu kwake atulie alee mimba yake salama, atarushiana maneno na wangapi?. Na michepuko ikiamua kumjibu si atadondoka kwa presha. Juzi tu kala kichambo kwa huddah, asije pata presha bure
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] akalee wanae kimya kimyaa tena ht social network asiwatupie...wakue wakubwa km kweli dai anamfanyia hivi bibie...dunia itasema nae
Yn mimi km nna uwezo wa kulea wtt wangu aisee mwanaume uninyanyasi why?? Nife kisa mwanaume hahaha hapaanaa
 
Diamond ndio wa kulaumiwa hapa..km ana cheat c acheat kimya kimya ....mjinga kbsa yani...tatizo pia linakuja una cheat na naniii....anaocheat nao ndio hao wapenda kick..wt next
 
Yule anataka kuonyesha yy ndo mwamba ndo anaposhindana na ukuta hapo!

Anaacha kupumzika na mimba anakuja kujitia stress ndo karaha za kutembea na vitoto vidogo vilivyopata hela juzi!


Bora angejituliza tu na mzee mwenzie kule!

Maana aliyoyakimbia kwa Ivan ndo anayakuta kwa Mondi!
 
Umeongea point mno hapo juu. Ila tu asiwatenganishe watoto na baba yao bana. Pamoja na yote, Dai anampenda na kumjali sana tiffah (ingawa akifanya hivyo, Dai akili itamkaa kidogo lol)
Kweli jamani. Zari amekuwa kama MC wa vigodoro kisa Dai. Mbona alikuwa mdada wa kujiheshimau, anajitambua, bosslady haswa!!!. Ila anapoelekea now mmh sijui
 
Diamond ndio wa kulaumiwa hapa..km ana cheat c acheat kimya kimya ....mjinga kbsa yani...tatizo pia linakuja una cheat na naniii....anaocheat nao ndio hao wapenda kick..wt next
That's why sometimes nasema Dai anawezana na Wema tu. Huenda Wema aliona mengi lakini alifundwa yanaishia chumbani na pia anapunguza stress kwakutafta madanga. Sasa sisi huku tunamsema vibaya kwamba anamuonea Domo.
 
Me siwalaumu hao mapaka shume, watu wanatembea na waume za watu, itakuwa baby daddy wa mtu. Mbaya wa zari ni Dai period. Watu wanaona fursa kwa Dai, na aombe tu hiyo michepuko isije ikabeba mimba na yenyewe
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] tehe ikitokea hivvyo wanawake Wa kibongo ninavyo wajua faster atahamia madale na kujimilikisha kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…