Zari amuumbua Hamisa Mobeto, aanika Live uchafu wake na Diamond

Yawezekana...
 
Na humu kumbe kuna watu Bado mnabishanaga mambo ya Zari Na Domoli??? Chaaaa kweli kazi ipo
 
Yawezekana...

Yah man..ndo hivyo.

Punguza umbea.

Hiyo si sifa nzuri kwa mwanaume.

Kuanza kudadisi dadisi kuhusu wanaume wenzio ain't the business.

That's some sucker shit man.

Juzi hapa nimeona unashadadia kuhusu mboli ya mwanaume mwingine hadi kuna jamaa akakuhoji kulikoni.

Not a good look man.

Kama unataka kujua Ngabu anatoka na nani au anamla nani unaweza kuja kwangu moja kwa moja.

Sawa Mangi?

DeucesπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.
 
Nimepitia posti yako ujumbe " neno kwa neno" naona kuna maneno ya Kiingereza yamekosewa, nikisoma posti nyingine ya Mange Kimambi naona maneno ya Kiingereza yameandikwa kwa usahihi zaidi. Hii inatia shaka kama kweli ujumbe huu unatoka kwa Zari au ni kuwa Zari maneno ya kawaida ya kila siku ya lugha ya Kiingereza yanamtatiza, kitu ambacho pia kinanipa shaka.
 
Ok
 
Ivi lazima wakitoa wimbo uambatane na stunt kwenye social networks hawa jamaa hua wananiacha hoi hapo hii style inakera duh ifike time wasanii wetu wajiamini sio kila wimbo na hadithi za wanawake hapa ndio nakumbukaga collection zangu za Sugu na Juma Nature.
 
ahaaa ahaa kwa hiyo ndio ulitaka kusemeje?!
labda!,kwamba!,pengine!,au!,vinginevyo!,kama vile!,ama!, inawaezekana kwamba rich alikuwa anabaashiwa na Mondi chumbani kwa bibieπŸ˜€πŸ™‚πŸ™‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…