princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
sema mond nae sioni hata anachongojahajielewi ndo maana alituma picha anajipiga nyeto kwa mwanaume wake!
asimuingilie mondi anavumilia tu na yy mengi!
hajui kuwa hamisa ananufaika sna na hio kikHawa wanatafuta kick tu sioni cha maana hapo
Huto tu hereni ndio kutoana mapovu(wakati wasafi wote wanavaa hereni), ila huyu bibie anajua kuteka akili watu jamaniiii yani IG page za umbea zooote ishu hereni za hamisa
Qwi Qwi Qwi..... umetisha mkuu, madhani ifike muda vijana wa kitz waache kuvaa hereni kama Dadazao.SEMA UKIZIANGALIA VIZURI NI KAMA ZA MAVOKO VILE
Nikimbie utamu?[emoji23][emoji23][emoji23]Nasikia ulikimbia na chupi... Mmarekani mnyanyua vitu vizito si mchezo
AhahahahahahahahahaHmm...acha fiksi bana Fisadi....wewe yule shosti wako si huwa mnaitana hapa muende chemba mkapeane ubuyu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila we jamaa mmbea sana. Nadhani ndo mwanaume mmbea kuliko wote JF[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We nawe mmbea kwelikweli.Ahahahahahahahahaha
Umeanza mawivu yakooooo ,wasukuma kwa wivu kaaaWe nawe mmbea kwelikweli.
Hata hicho kicheko chako cha kiumbeaumbea tu.
Haya kalale ukue.
Au unataka dudu ya M......P?
Hivi huyo M......P ndo nani wewe?
Kwa hiyo ulitunga tu ile mada?Umeanza mawivu yakooooo ,wasukuma kwa wivu kaaa
Umbea upo damuni,m.....p hata mi simjui
AhahahahahahahahahhKwa hiyo ulitunga tu ile mada?
Halafu nione wivu kwani mi mumeo?
Au una hamu ya kuwa Mrs. Ngabu wewe?
Nikupeleke USA [emoji23] [emoji23] [emoji23].
Ningemtaja mshikaji...yule kiboko yako sema nakuonea huruma usije lia bure.
Mrs Ngabu yupo katulia wapi?Ahahahahahahahahahh
Mrs Ngabu si yupo katulia tulia
Halaf unampenda huyo mshikajiii
Yupo tu ntakupa ubuyu we si una totozi lakiMrs Ngabu yupo katulia wapi?
Unipe ubuyu kwani mi nimekuwa FisadiKuu?Yupo tu ntakupa ubuyu we si una totozi laki
Lekaga shii lolo ole nfumuUnipe ubuyu kwani mi nimekuwa FisadiKuu?
Ubuyu mpelekee huyo shosti wako[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nahene mayu nalekaga luluLekaga shii lolo ole nfumu
Wabheja kulombaNahene mayu nalekaga lulu
Kwahiyo usinililie tenaaaaI'll never fight over a man especially mwanaume asiyeniheshimu. Mwenye tatizo hapo ni Dai na Sio hao wanawake wengine. Kama hawezi kujiheshimu na kujichunga dhidi ya wanawake, wewe ndo utamchunga?. Afu anajidhalilisha tu mwenyewe mwisho wa siku, na kuthibitisha tu kuwa bwana ake ni kitombi eishhhh
Unaona sasa....Msukuma gani wewe!Wabheja kulomba