Zari amuumbua Hamisa Mobeto, aanika Live uchafu wake na Diamond

Zari amuumbua Hamisa Mobeto, aanika Live uchafu wake na Diamond

Ziwe cheap,ziwe uchafu.
Keshachapiwa mtu mzima achutame.
(Kama ni kweli lakini maana naona dalili za kutafuta kick)
Hahaaaa it hurt mno ila hamisa naye mkali kwa kiasi chake. Ndo washashare ubooo . naukute hapa zari anataka kiki maana kaona kasahaulika
1474485243580.png
 
Zile tetesi za muda mrefu kuhusu mwanamuziki Diamond Platnums pamoja model maarufu nchini, Hamisa mobeto aka Salome kuvunja amri ya sita huenda zikazaa matunda soon baada ya hivi karibuni mzazi mwenzie ,ambaye pia ni mpenzi wake wa sasa, Zari Hassan ambapo kupitia page yake ya snapchat amepost picha za hereni huku zikiwa zimeambata na ujumbe mzito, ambapo alimtaka mwenye hereni hizo cheap alizozisahau chumbani kwake akazichukue mara moja.

Hata hivo kwa mujibu wa wapenda umbea mjini aka team chambua kama karanga waliweza kuzichambua hereni hizo vizuri na kubaini kuwa zilishawahi kuvaliwa na mwanamitindo maarufu nchini Hamisa Mobetto(pichani) aka SALOME.

Huenda hii ikawa habari Kali kwa wiki hii, hata hivyo bado Zari hajafunguka chochote kuhusu mmliki wa hereni hizo, wala Hamisa bado hajazungumzia chochote kama ni kweli uchafu huo (kama alivyoita Zari) ni wake au sio

View attachment 404434
Katika Biblia Amri ya sita inasema usiue sio usizini kama mlivyodanganywa na kudanganya.
 
Hivi wewe una app ya umbea?

Manake kwenye umbea wote hukosekani.

FisadiKuu mbona sijamwona hapa? Haujamtonya nini? Maana naye anavopenda umbea ndo maana mnaelewana naye sana na pia anaelewana na kale ka kinuka utoko [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hii sio sekta yangu... Ukiniona kwenye haya majukwaa basi nakuja kutroll watu tu..

Sasa mimi niongelee hao sijui Mabetto niwajulie wapi
 
Apo zari ndo kajidhalilisha anafanya mambo hayaendan na umri wake wew mwanaume anakucheat live bado unang'ang'ania alaf hamisa mbona cku nying watu wanajua ni mchepuko wa diamond zari anashndwa kumuacha diamond coz anaogopa aibu na fedheha si alikua anajifanya anapendwa sana chezea diamond hehe
 
Hii sio sekta yangu... Ukiniona kwenye haya majukwaa basi nakuja kutroll watu tu..

Sasa mimi niongelee hao sijui Mabetto niwajulie wapi
Hmm...acha fiksi bana Fisadi....wewe yule shosti wako si huwa mnaitana hapa muende chemba mkapeane ubuyu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ila we jamaa mmbea sana. Nadhani ndo mwanaume mmbea kuliko wote JF[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom