Zari Amvaa Mange Kimambi..

Atulize tu vimlonjo vyake maisha yashampa mgongo age mate wa zari, amezaa na mabwana wawili, ameachwa, ameolewa na mzungu ameachwa, ana degree na bla bla mingi ila hana hata kibanda cha mbao atulie tu asubiri kuitwa na muumba.
Na roho ile ndo maana hafanikiwi kiblog chaliii duka la nguo chaliii yote hayo roho mbaya
 
Ndio nilipomshangaa mimi
 
Kwamba licha ya ua jeusi ila.Mond alikula mzigo kiulaiiiniiii....kweli hawala hatongozwi
 
Hahahhhaaaaa leo Mange kawa mdogo wake na Zari🤣[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona na age mates ?!

Wanadada humu wanajisifu kutumia akili wakati nyuchi wanazitumia kila kukicha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna mdada namfahamu yupo USA alikuwa nurse alikuwa analipwa hela nzuri tu.sasa hivi anachukua master. Opportunity huko ipo yeye amekalia umbea tu miaka nenda miaka rudi. Akimvaa mtu hamuachi. Enzi za shamimu alimvaa wee yule mdada hakumjibu
 
Warumi kumbe wewe ndo unatia petrol hili saga?
 
Kuna mdada namfahamu yupo USA alikuwa nurse alikuwa analipwa hela nzuri tu.sasa hivi anachukua master. Opportunity huko ipo yeye amekalia umbea tu miaka nenda miaka rudi. Akimvaa mtu hamuachi. Enzi za shamimu alimvaa wee yule mdada hakumjibu

🤣🤣🤣🤣🤣
 

Ahahahaah eti abaki kusubir tu kuitwa na muumba wake, wanazengo mmejua kunichambia Bi kigagula🤣🤣

Tumuulize yeye watoto wake wamejengewa nyumba na mzungu ? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mange Ana stress sana na maisha ya zari , anaona akina nillan wanakula bata roho inamuuma
 
Kuna mdada namfahamu yupo USA alikuwa nurse alikuwa analipwa hela nzuri tu.sasa hivi anachukua master. Opportunity huko ipo yeye amekalia umbea tu miaka nenda miaka rudi. Akimvaa mtu hamuachi. Enzi za shamimu alimvaa wee yule mdada hakumjibu
Shamimu hakumjiiibu mwenzio Mange anasema maisha yake yameharibiwa na Shamimu kiulozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…