Zari Amvaa Mange Kimambi..

Zari Amvaa Mange Kimambi..

Shoga yangu ebu rekebisha kauli, sio unatamani, tunatamani, ata warumi mie napenda kumiliki nyumba south na kuendesha Ferrari , bibie akiona zari Ana slay insta anajisikia kuharisha, anakumbukia Enzo zake za dubai 🤣🤣🤣🤣🤣

Binamu nimekupenda bure umetoa ya moyoni, zari anaishi bwana na wote tunatamani maisha yake , unadhan kuhongwa ghorofa mchezo , mxiew
Atulize tu vimlonjo vyake maisha yashampa mgongo age mate wa zari, amezaa na mabwana wawili, ameachwa, ameolewa na mzungu ameachwa, ana degree na bla bla mingi ila hana hata kibanda cha mbao atulie tu asubiri kuitwa na muumba.
Na roho ile ndo maana hafanikiwi kiblog chaliii duka la nguo chaliii yote hayo roho mbaya
 
Dhambi kubwa ile hata mumeo huwezi lala nae ndani ya siku7 za mwanzo kwanza iyo hamu inatoka wapi
Tunaonekana hatumpendi lakini kiukweli anakosea mnoo...!!!
Zari ajitathimni kwanza abadilike for good reasons wanaume Hawaoi tu kirahisi hvyo Bi Sandra nafikri alimuuliza mwanawe kama msiba wa mama ake anafanya hivi,je wa kwangu?huyu sio mke huyu!
Ndio nilipomshangaa mimi
 
Kwamba licha ya ua jeusi ila.Mond alikula mzigo kiulaiiiniiii....kweli hawala hatongozwi
IMG_20190430_090717.jpg
 
Hahahhhaaaaa leo Mange kawa mdogo wake na Zari🤣[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona na age mates ?!

Wanadada humu wanajisifu kutumia akili wakati nyuchi wanazitumia kila kukicha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna mdada namfahamu yupo USA alikuwa nurse alikuwa analipwa hela nzuri tu.sasa hivi anachukua master. Opportunity huko ipo yeye amekalia umbea tu miaka nenda miaka rudi. Akimvaa mtu hamuachi. Enzi za shamimu alimvaa wee yule mdada hakumjibu
 
Ila Leo tukinao kajua kunikomeshea mtu , kumbe bidada nae yuko vzur kwenye kuchamba🤣, halafu Ana matusi hatari , nimeshangaa Bi kigagula alivyojibu kwa upole vile utadhan Sio yeye, Ila nimegundua mange hajui kuongea vizur physically unlike akiwa anatype, yani ukitaka kichambo cha mange vizur , ngoja akutaipie, atakuchamba mpaka mshipa ya ubongo ikusimame, Ila Leo dada wa taifa kaniangusha, sio wa kuzidiwa kuchambwa na zari .

Ila zari kiboko , eti kamuuliza swali moja tu , ye K yake imemsaidia nini ? 🤣🤣. Naona Bi dada anajibaraguza tu Hana cha kuongea, Leo mama kenzo kapatikana, halafu ukiangalia tu ile video ya mange utaona deep down she envy Zari's opulent living , na anamuogopa sana zari sema tu ndo vile atafanyaje kuondoa maumivu.

Ila mange unafeli wapi dada yetu jaman , unajua tunakutegemea kutupeperushia bendera yetu huko US? , yani na elimu yote hyo uliyokua nayo , na ujanja na shape nzuri , maana sio siri mange unalipa, you have that English figure of which most Rich white men craving for , and frankly speaking , mange you very smart kichwani , una upeo wa akili mkubwa sana, Sasa sijui kwa nini instead of making yourself , unaanza ku attack successful woman ambaye literally kakuzidi kila kitu [emoji16], dada mange ukubali tu zari is your idol , role model , a person you are looking up to , im very very very very sure you badly want that extravagant lifestyle ya zari , you wish you had a man to buy you a house in a wealthiest estate kama ya zari sema tu ndo vile , sijui una gundu au laana .

Dada mange kwa u smart ulionao, elimu yako nzuri , I'm sure ata ungekua na gang ya Ma prostitute expensive uko US ambao uwaibia wazungu pesa na kuwa drug or black mail them , Sasa dada yetu jaman unakosea wapi ? , maana sijui kazi Tena kuajriwa Ndo basi, and you are almost 40 , with three kids , huna lolote mjini zaidi ya followers mil 3 Instagram , sijui hata kwa nini Uwa unamsema wema sepetu hana akili wakati nadhan akili zenu tu wote sawa
Warumi kumbe wewe ndo unatia petrol hili saga?
 
Kuna mdada namfahamu yupo USA alikuwa nurse alikuwa analipwa hela nzuri tu.sasa hivi anachukua master. Opportunity huko ipo yeye amekalia umbea tu miaka nenda miaka rudi. Akimvaa mtu hamuachi. Enzi za shamimu alimvaa wee yule mdada hakumjibu

🤣🤣🤣🤣🤣
 
Atulize tu vimlonjo vyake maisha yashampa mgongo age mate wa zari, amezaa na mabwana wawili, ameachwa, ameolewa na mzungu ameachwa, ana degree na bla bla mingi ila hana hata kibanda cha mbao atulie tu asubiri kuitwa na muumba.
Na roho ile ndo maana hafanikiwi kiblog chaliii duka la nguo chaliii yote hayo roho mbaya

Ahahahaah eti abaki kusubir tu kuitwa na muumba wake, wanazengo mmejua kunichambia Bi kigagula🤣🤣

Tumuulize yeye watoto wake wamejengewa nyumba na mzungu ? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mange Ana stress sana na maisha ya zari , anaona akina nillan wanakula bata roho inamuuma
 
Kuna mdada namfahamu yupo USA alikuwa nurse alikuwa analipwa hela nzuri tu.sasa hivi anachukua master. Opportunity huko ipo yeye amekalia umbea tu miaka nenda miaka rudi. Akimvaa mtu hamuachi. Enzi za shamimu alimvaa wee yule mdada hakumjibu
Shamimu hakumjiiibu mwenzio Mange anasema maisha yake yameharibiwa na Shamimu kiulozi
 
Back
Top Bottom