Ivi kweli dada wa taifa ana kwama wapi, nakumbuka enzi hizi anajishauwa mashauzi yataka pesa ameshindwa ku keep status sasa anamshambulia zari kuwa ana fake maisha wakati yeye ndo alikuwa bingwa wa kufake enzi za mashauzi yataka pesa muke ya muzungu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani,Zari mlitaka asiolewe tena kisa nyumba ni ya Diamond???...eti ana.to...b..wa kwenye nyumba ya kaka...mlitaka akato.b.we kwenye nyasi msituni wakati nyumba ipo..lol.... ZARI usitoke humo..whether nyumba ni yako ama ya 'kaka'..lol
Yaan yule dada ni muongo balaaa sina hamu naye tangu kipindi kile anatutambishia kwenye blog yake ana bonge la mansion anapiga picha sitting room yy na mzungu wake akajifanya nitawapa tour mje kwenye mansion letu. Kumbe ilikua ni apartment na ile sitting room ni share kwa wapangaji wote. Shame on her beautiful liar[emoji1475]
Ila Tanasha hata hanogi, bora ata hamisa
Leo Zarina amemuita Diamond Domo, Mange anamuambia Zari aache ku***wa kwenye nyumba ya kaka yake Diamond.
Kama zari ananoga mbona diamond hajamuoa?
Au unamaanisha kunoga mitandaoni?
If that the case, that's too low dia
BTW zari is 50 diamond is 29 kama sikosei,
Je nani muoaji? Za kuambiwa changanya na zako my dia
Zari anavyopenda ujiko aonekane, hata leo anatamani diamond amurudie, ila ndio hivyo tena tanasha kashaichukua nafasi.
Sasa kama ni mpuuzi, hana elimu na unagongwa na watu wa serikalini kwanini unapenda sana kumzungumzia?Unfortunately , Diamond is out of my league , I only do the most elite and powerful people , I don't do stupid , ignorant , uneducated and mentally retarded imbeciles , I'm sexually attracted to someone's intelligence of which diamond lack , I'm dating prominent people in the government , not magufuli government , yani mpaka apo Ndo ujue I don't get dicked with a empty minded people [emoji57], diamond type yake ni kina hamisa na Kim nana, zari alikujia tu nyumba yake [emoji16], mission accomplished π€£π€£
Kuna wakati wanakuwa kwa baba yao.Anaacha kutulia kulea wakina kenzo
Hahahah ilikuwa ni reception ya izo apartment,watu walijua kumuumbua na uongo wake nafikiri watu wengi wamemjua juzi juzi kupitia insta ndo maana wanashabikia ujinga wake hajui kuwa yeye ndo bingwa wa kufake life alafu awezi ku keep status ya fakezoneYaan yule dada ni muongo balaaa sina hamu naye tangu kipindi kile anatutambishia kwenye blog yake ana bonge la mansion anapiga picha sitting room yy na mzungu wake akajifanya nitawapa tour mje kwenye mansion letu. Kumbe ilikua ni apartment na ile sitting room ni share kwa wapangaji wote. Shame on her beautiful liar[emoji1475]
ππππ na cream za bei mbaya tuliringishiwa tukaambiwa mashauzi yanataka pesa na power of πΈπΈ ameolewa na mzungu kijana afu tajiri hawezi achwa kamwe na wana mpango wa kununua mansion few meters from Beverly Hills cha ajabu divorce yake alificha mwaka mzima wambeya wakamuumbua kuwa kaachika siku nyingi aache ku fake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan ww acha tu unakumbuka alivyo tuongopea wamenunua mansion..? Unakumbuka handbag ya LV aliyokua anafanyia nayo mashauzi na kiatu chake kile CL....siku hizi kabaki kuringishia nywele tu[emoji23]
Unakumbuka ule uongo wa msako wa nyumba ya kupanga kutwa kudanganya na kupiga picha kwenye nyumba za watu.
Zari wakumuita Dai Domo kweli.... Haki Dunia inaenda kasi sana..Leo Zarina amemuita Diamond Domo, Mange anamuambia Zari aache ku***wa kwenye nyumba ya kaka yake Diamond.
Hahahah ilikuwa ni reception ya izo apartment,watu walijua kumuumbua na uongo wake nafikiri watu wengi wamemjua juzi juzi kupitia insta ndo maana wanashabikia ujinga wake hajui kuwa yeye ndo bingwa wa kufake life alafu awezi ku keep status ya fakezone