Zari Amvaa Mange Kimambi..

Zari Amvaa Mange Kimambi..

Ivi kweli dada wa taifa ana kwama wapi, nakumbuka enzi hizi anajishauwa mashauzi yataka pesa ameshindwa ku keep status sasa anamshambulia zari kuwa ana fake maisha wakati yeye ndo alikuwa bingwa wa kufake enzi za mashauzi yataka pesa muke ya muzungu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan ww acha tu unakumbuka alivyo tuongopea wamenunua mansion..? Unakumbuka handbag ya LV aliyokua anafanyia nayo mashauzi na kiatu chake kile CL....siku hizi kabaki kuringishia nywele tu[emoji23]
 
Jamani,Zari mlitaka asiolewe tena kisa nyumba ni ya Diamond???...eti ana.to...b..wa kwenye nyumba ya kaka...mlitaka akato.b.we kwenye nyasi msituni wakati nyumba ipo..lol.... ZARI usitoke humo..whether nyumba ni yako ama ya 'kaka'..lol

Mbona mwakitombile na yy alikua analala kwenye ile nyumba ya Ivan...mkuki kwa nguruwe[emoji23]
 
Unakumbuka ule uongo wa msako wa nyumba ya kupanga kutwa kudanganya na kupiga picha kwenye nyumba za watu.
Yaan yule dada ni muongo balaaa sina hamu naye tangu kipindi kile anatutambishia kwenye blog yake ana bonge la mansion anapiga picha sitting room yy na mzungu wake akajifanya nitawapa tour mje kwenye mansion letu. Kumbe ilikua ni apartment na ile sitting room ni share kwa wapangaji wote. Shame on her beautiful liar[emoji1475]
 
Binamu chukua hii...hahahaaaa!
Hata zinalala Madame kwa bi sandra
IMG_20190427_204735_585.JPG
IMG_20190427_204735_585.JPG
 
Hahahaaaa....ahsante pitia kwa tarimo kunywa juice bili utalipa mwenyewe[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kama zari ananoga mbona diamond hajamuoa?

Au unamaanisha kunoga mitandaoni?

If that the case, that's too low dia

BTW zari is 50 diamond is 29 kama sikosei,

Je nani muoaji? Za kuambiwa changanya na zako my dia
 
Unfortunately , Diamond is out of my league , I only do the most elite and powerful people , I don't do stupid , ignorant , uneducated and mentally retarded imbeciles , I'm sexually attracted to someone's intelligence of which diamond lack , I'm dating prominent people in the government , not magufuli government , yani mpaka apo Ndo ujue I don't get dicked with a empty minded people [emoji57], diamond type yake ni kina hamisa na Kim nana, zari alikujia tu nyumba yake [emoji16], mission accomplished 🤣🤣
Sasa kama ni mpuuzi, hana elimu na unagongwa na watu wa serikalini kwanini unapenda sana kumzungumzia?
 
Yaan yule dada ni muongo balaaa sina hamu naye tangu kipindi kile anatutambishia kwenye blog yake ana bonge la mansion anapiga picha sitting room yy na mzungu wake akajifanya nitawapa tour mje kwenye mansion letu. Kumbe ilikua ni apartment na ile sitting room ni share kwa wapangaji wote. Shame on her beautiful liar[emoji1475]
Hahahah ilikuwa ni reception ya izo apartment,watu walijua kumuumbua na uongo wake nafikiri watu wengi wamemjua juzi juzi kupitia insta ndo maana wanashabikia ujinga wake hajui kuwa yeye ndo bingwa wa kufake life alafu awezi ku keep status ya fakezone
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan ww acha tu unakumbuka alivyo tuongopea wamenunua mansion..? Unakumbuka handbag ya LV aliyokua anafanyia nayo mashauzi na kiatu chake kile CL....siku hizi kabaki kuringishia nywele tu[emoji23]
😂😂😂😂 na cream za bei mbaya tuliringishiwa tukaambiwa mashauzi yanataka pesa na power of 😸😸 ameolewa na mzungu kijana afu tajiri hawezi achwa kamwe na wana mpango wa kununua mansion few meters from Beverly Hills cha ajabu divorce yake alificha mwaka mzima wambeya wakamuumbua kuwa kaachika siku nyingi aache ku fake
 
Huyo mange kwa nini anashindwa kutafuta kazi akafanya? Elimu anayo watoto wapo shule kwa nini asifanye kazi. Miaka nenda miaka rudi yupo na zari tu. Mbona na yeye alikuwa mtu wa kujishauwa? Alikuwa akisema mashauzi yanataka pesa. Unakuwa na obsess na mtu mwisho unaonekana wewe ni chizi
 
Hahahah ilikuwa ni reception ya izo apartment,watu walijua kumuumbua na uongo wake nafikiri watu wengi wamemjua juzi juzi kupitia insta ndo maana wanashabikia ujinga wake hajui kuwa yeye ndo bingwa wa kufake life alafu awezi ku keep status ya fakezone

Ni kweli kabisaaa wanamshabikia wamemfaham instagram wangekua tangu kipindi cha blog yake wasingekua na hamu nae mange kimavi ni fake sana hadi mwili ule kuna viungo sio vyake[emoji23][emoji23][emoji23] Pua amechonga, maziwa amebust, tutako nako kule kaongezamo[emoji38][emoji38][emoji38] ameshindwa kufanya surgery ya miguu yake tu[emoji23]
 
Back
Top Bottom