Zari Amvaa Mange Kimambi..

Ebu nisaidie na wewe🤣🤣🤣, mange kafulia kabaki ku show off wigi tu
Silipendi hili li mdada, yaan lina wivu wa ajabu kweli.
Wameshupalia nyumba utadhani wanajua ht makubaliano yao wakati wananunua. Hiyo nyumba mi naamini kuna mkono wa zari pia ndio maana anapata jeuri.
 
Nashauri Zari aache kumjibu Mange maana ameloose confidence hatari yani amekua commedian, sa ndo nini kutoa ulimi nje kama amelamba lolo

View attachment 1082708
Yaan me ndio nimebaki mdomo wazi hapa, bosslady anajisifia kununuliwa maua na kupewa pesa kiufupi anajisifu vile anavyojua kuitumia K yake vizuri hadi ikamletea pesa, nilijua angejisifia jinsi akili yake inavyofanya kazi kumletea maendeleo kumbe shukran zake zinaenda kwa K hahaha nilisema mimi bado muda mchache tu jamii ya watanzania itamuelewa huyu mama maana kawashika masikio wengine wanamuabudu kabisa wanahisi ni malaika kutoka mbingu ya saba.
 
Msimu huu mashabiki wa bi shuzda wamegaragazwa vibaya mno ule uzungu uzungu wote kwishnei,,, si alijitia kamove on au sio huyu zee fake la kizungu saiv kawa mchambaji????

Mama watano anaendekeza drama na mabinti wanaolingana na wanae wa kuwazaaa,,,, pathetic

Unakumbuka msimu ule tulivyosimama kidete humu kumtetea misa ( mtz mwenzetu)

Nilimshangaa siku aliposema bbc eti diamond anamdhalilisha yaani akasahau kabisa kwamba huko kujidhalilisha alikuanza yeye baada ya kukubali kutombwa na mtu anaekaribiana umri na first born wake

Ni heri wema mara elfu kuliko hili dude na wapenda uzalendo kwenye hili segere tunafanya kugongeana cheers tu

Mashabiki mandazi wa huyu bibi wanahaha vibaya mno bibi yao kawaacha uchi uchi
Too late to catch the train!!!!Zari 90% ya washabiki wake ni wabongo!!!tusiopendana wenyewe kwa wenyewe!!

Anamtamani haswaa juzi diamond kasema ukweli mtupu!! Ila dogo hawezi tena kurudi
 
Bosslady anabishana na makapuku hahaha what a shame!!? tena anatoa matusi mazito mazito, na alivyochizika sasa anajinunulia maua kisha anasema kanunuliwa jamani upweke mbaya we acha tu.
 
Rangi zake zote tumeziona, kila mtu ni wife material kama hajavurugwa, akubali akatae side effect za low life hamisa zitamuumiza mpaka mwisho wake
Bosslady anabishana na makapuku hahaha what a shame!!? tena anatoa matusi mazito mazito, na alivyochizika sasa anajinunulia maua kisha anasema kanunuliwa jamani upweke mbaya we acha tu.
 
Aisee Ďiamond ķafanikiwa kwenye hii nyimbo mpyaa yaní intervïew moja tu kàbreak internet
 

Muulizen huyo boss wenu , k yake imemsaidia nini ? Yeye si alikua anasema ooh mzungu wake tajir , wananunua mansion expensive uko US , Leo hii kiko wapi ? Kama nyie mnatumia k zenu na kuachwa sio zari aliyewatuma maze na wanaume bila kutumia akili , Ana akili ndio maana kanunuliwa nyumba na mzazi mwenzie, you should all stop being bitter with Zari's success, you should learn from her instead , maisha anayoishi zari mastaa wengi wabongo wanataman Ila hawawez, mbaya zaidi wengi wao pia wamelala na domo na hawajapata hata kijiko, Sasa wamemuona zari kanunua nyumba wanaanza kuwashwa
 
Mhhh. Who are you. By the way...??
 
Elimu unayowapa dada zetu wa Kiswahili akina Wolper, Uwoya, Aunt Ezekiel, Wema, Ndauka, Amber Lulu nk laiti kama wangekuelewa wangepiga hatua kubwa sana. Ngoja washindane kulingishiana nyumba za Kupanga tu hawana kitu kichwani.
Lkn Warumi umenichekesha uliposema wewe Dick unazo chapwa ni zile za maIntelligent Educated guys. Hongera sana sana, niliwahi kumsikia Odama naye akiwa na mtazamo huuu. Hongereni sana sana
 
K yako imekusaidia nini mpaka sasa swali liko palepale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…