Zari Amvaa Mange Kimambi..

Zari Amvaa Mange Kimambi..

Ila zari mwehu , wanazengo mmeona video ya zari anamringishia mange kitu cha Gucci and Versace , eti anamwambia mange I know you want this 🤣🤣🤣, yan zari mwehu , atamuua mwenzie kwa pressure hajawah vaa Gucci
 
Leo Zarina amemuita Diamond Domo, Mange anamuambia Zari aache ku***wa kwenye nyumba ya kaka yake Diamond.
Makubwa Diamond kawa kaka yake wakati alisemaga kama kweli diamond kanunua ile nyumba ya south,naye atajipeleka na miguu yake ata kama mibaya ajitongozeshe kwa diamond haiwezekani diamond amnunulie zari nyumba “
 
BECCD4CD-4389-49F9-9F45-F0084A47B5B8.jpeg
 
Ivi kweli dada wa taifa ana kwama wapi, nakumbuka enzi hizi anajishauwa mashauzi yataka pesa ameshindwa ku keep status sasa anamshambulia zari kuwa ana fake maisha wakati yeye ndo alikuwa bingwa wa kufake enzi za mashauzi yataka pesa muke ya muzungu 😂😂😂😂
 

Yaan yule dada ni muongo balaaa sina hamu naye tangu kipindi kile anatutambishia kwenye blog yake ana bonge la mansion anapiga picha sitting room yy na mzungu wake akajifanya nitawapa tour mje kwenye mansion letu. Kumbe ilikua ni apartment na ile sitting room ni share kwa wapangaji wote. Shame on her beautiful liar[emoji1475]
 
Back
Top Bottom